Kuhusu Bajeti ya mwaka huu serikali ya CCM inakaribia mwisho wake-Dr Slaa

Utegemezi hadi kwenye recurrent expenditure! Hii ni aibu na fedheha kwa taifa letu.
 
Hapa cha msingi ni kutafuta mwelekeo mpya wa sera na uongoz ifikapo 2015 hawa ccm juz walikua wanasema uchumi umekua sa'umekua vp wakati leverage ratio imeincrease zaidi. Tunaitaji fikra mpya makini na endelevu kwa wanyonge ktk usawa wa haki na uchumi.
 
Kiongozi Mkuu wa upinzani nchini na Katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CDM Dr Wilbroad Slaa amesema ameshangazwa na kushtushwa na bajeti ya serikali ya mwaka huu.
Dr Slaa amesema serikali ya CCM imefikia mwisho wa kufikiri kwa kuomba misaada na mikopo kwa wahisani kwa lengo la kukidhi fungu la matumizi ya serikali.Dr Slaa amesema hakungekuwa na tatizo kama mikopo na misaada ingeelekezwa kwenye maendeleo kama ujenzi wa viwanda nk.Dr Slaa alihoji unakopa ili mlipane mishahara na marupurupu?
Dr Slaa alishangazwa pia na serikali kutegemea vinywaji kila mwaka katika kuongeza kodi na kusema huko ni kukosa ubunifu.Mbona hawaangalii madini? Alihoji kiongozi huyo.
Dr Slaa aliponda pia uamuzi wa kuanzisha kodi maalum kwenye plate namba za magari zenye majina ya watu na kusema huko ni kuleta matabaka katika nchi na kuhalalisha mafisadi kutamba na fedha zao haramu.

Source:Tanzania Daima Jumamosi

Ndio habari ndio hiyo. Wamekwisha.
 
Hapa cha msingi ni kutafuta mwelekeo mpya wa sera na uongoz ifikapo 2015 hawa ccm juz walikua wanasema uchumi umekua sa'umekua vp wakati leverage ratio imeincrease zaidi. Tunaitaji fikra mpya makini na endelevu kwa wanyonge ktk usawa wa haki na uchumi.

Wananchi wanapaswa kuwa makini sana kwenye uchaguzi ujao
 
Wakuu tufanye kitu gani ili JK aondoke madarakani kabla ya 2015? Nchi inakwenda shimoni maana serikali inakopa ili kulipa mishahara na marupurupu,kila mwaka nyongeza ya kodi ni kwenye vinywaji,madini hayaguswi,leo hii Tanesco wanataka kukopa bil 480,kwa ajili ya kununua mafuta wapi umewahi kuona mambo kama haya?Sasa kama leo hali iko hivi je mpaka mwaka 2015 itakuaje kama huyu jamaa akiendelea kuwepo madarakani?
 
Hivi Tume ya katiba na C programming ni wanafunzi wa chekechea gani? Maana wao wanalipwa peremende kila siku kwa manufaa ya nani? Acheni ushabiki ila si mbaya mwizi hata akiambiwa acha wizi anaona anaonewa, acheni ujinga au ndio elimu ........ ya mwarabu inawafundisha kupinga kila kitu?
 
Ccm wanamuogopa Dr.Slaa kuliko kifo!!! Akikohoa tu ma.i yanawatoka!! Na 2016 lazima mumtambue!! Subilieni na wizi wenu!!
 
Sijui kama unaelewa unachosema na implications zake! Maana yake ni kwamba bajeti ijadiliwe na wachumi tu!

THINK BEFORE YOU TYPE

Na katiba iandikwe na wanasheria tu!!!!!!
ccm wamefilisika akili mpaka mipango.
 
Back
Top Bottom