kaka kwan fees n shiling ngap mpaka programme mtu umalize? ila usijal kaka utamalizaJaman hongera kma unakuja kusoma masters sisi hta ha2jui kma 2taendelea for second year coz ada yenyewe imepanda jaman mmh 2talia na nan na wazaz wetu n wakulima hawajavuna bdo mmh all da best 4 ur masters
jaman hongera kma unakuja kusoma masters sisi hta ha2jui kma 2taendelea for second year coz ada yenyewe imepanda jaman mmh 2talia na nan na wazaz wetu n wakulima hawajavuna bdo mmh all da best 4 ur masters
Mi nimebahatika Kusoma hapo, inatambulika na tcu so kwenye soko la ajira pia. All the best