Realbest
JF-Expert Member
- Aug 5, 2013
- 809
- 293
Kwa taarifa nilizozpata hivi punde kutoka hapo mkoani IRINGA mjini, inasemekana jana trh 11 NAIBU WAZIRI WA ELIMU Alikuwa na vikao na wakuu wa shule na wataaluma.
Mkuu mmojawapo akamuulza tujiandae kuwapokea waalmu wapya lin? Mheshimiwa akajibu APRIL moc ndipo mtaanza kuwapokea walimu wapya kutokana na serikari kutingwa na mambo ya katiba yameingiliana!
WADAU KUTOKA IRINGA TUTHIBITISHIENI BAKI ANGALAU TUWE NA UHAKIKA.
Mkuu mmojawapo akamuulza tujiandae kuwapokea waalmu wapya lin? Mheshimiwa akajibu APRIL moc ndipo mtaanza kuwapokea walimu wapya kutokana na serikari kutingwa na mambo ya katiba yameingiliana!
WADAU KUTOKA IRINGA TUTHIBITISHIENI BAKI ANGALAU TUWE NA UHAKIKA.