Kuhusiana na Lulu kulia Mahakamani, Kama binti mdogo (mtoto) anayebebeshwa mzigo asioweza kuubeba

Ulie usi lie
court is not your mother or your father to feel sory for you
 
Umenena hata mimi simuhurumii kabisa wakati anafanya starehe alikuwa anaona dunia ni yake na chaguo ni lake leo aliyoyachagua anayaangulia kilio. Mnaomuonea huruma mwende mahakamani badala yake,ni lazima iwe fundisho kwake,wasichana wote,wazazi wanaofanya watoto wao vitega uchumi ili kuganga njaa town. Leo hii mama lizy anaomba watu wamsaidie mwanae alipokuwa anarukaruka na wanaume mbona hakuomba msaada wamama wamkanye km alishindwa?alikuwa anafurahia hela tu,ukipanda mahindi usitegemee kuvuna kunde.

Aisee kumbe ana 'kibendi!'. Du watu mna data! Sio kitoto. Mwache ajifunze whether awe au asiwe guilty atakuwa kapata adabu kidogo. Jela hata kwa siku moja haifai wandugu.
 
Sio kila mfungwa aliyejera ni kweli mkosaji, husimuukumu mwenzio wakati bado upo duniani. kabla uja haujaumbika! penye ukweli uongo ujitenga siku moja tutajua ukweli ulipo., acha sheria ifanye kazi yake.
 
Back
Top Bottom