ndupa
JF-Expert Member
- Jan 25, 2008
- 4,403
- 141
ivi inawezekana mtu kuama chuo kimoja na kwenda kingine kwa mwaka wa kwanza..mfano nimepangiwa mzumbe statistics au agri economics ya sua na nnataka kwenda bsc in maths UDOM au architecture ardhi..inawezekana?? kwa mwenye uelewa anisadie,,natanguliza shukran wana JF