Alexism
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 3,423
- 2,045
Wanajamvi,
Kwanza habari za mwaka mpya?
Ni kwa takribani mwezi mmoja sasa maduka ya mfanyabiashara maarufu mkoani Kagera-Bukoba (Dr.REMI) yamefungwa na hayatoi huduma.
Mfanyabiashara huyu kwa muda mrefu amekua akiingiza bidhaa za matumizi ya kila siku tokea nchini Uganda na alikua agent wa kampuni ya Mukwano.
Tangu maduka yake yafungwe bei za vitu kama sabuni, chumvi, mafuta n.k vimepanda bei.
Kufungwa kwa maduka yake kunausishwa na skendo ya siasa kati yake na Dr. Kamala ambaye inasemekana ndo alikuwa mmiliki halali kwahiyo baada ya kuhitilafiana mambo ndo yakawa hivyo.
Je,viongozi wa mkoa hasa wabunge mnasaidiaje wananchi waendelee kupata bidhaa hizi kwa bei kama ya mwanzo au kama mikoa mingine.?
Naomba kuwasilisha.
Kwanza habari za mwaka mpya?
Ni kwa takribani mwezi mmoja sasa maduka ya mfanyabiashara maarufu mkoani Kagera-Bukoba (Dr.REMI) yamefungwa na hayatoi huduma.
Mfanyabiashara huyu kwa muda mrefu amekua akiingiza bidhaa za matumizi ya kila siku tokea nchini Uganda na alikua agent wa kampuni ya Mukwano.
Tangu maduka yake yafungwe bei za vitu kama sabuni, chumvi, mafuta n.k vimepanda bei.
Kufungwa kwa maduka yake kunausishwa na skendo ya siasa kati yake na Dr. Kamala ambaye inasemekana ndo alikuwa mmiliki halali kwahiyo baada ya kuhitilafiana mambo ndo yakawa hivyo.
Je,viongozi wa mkoa hasa wabunge mnasaidiaje wananchi waendelee kupata bidhaa hizi kwa bei kama ya mwanzo au kama mikoa mingine.?
Naomba kuwasilisha.