Kufunguliwa kutoka katika ndoa ya mapepo au majini mahaba!

Felixonfellix

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
1,672
182
Biblia inatuambia
Nami nimeona lililo na uchungu kupita mauti yaani,Mwanamke ambaye moyo wake ni mtego na tanzi na mikono yake ni kama vifungo; Yeye ampendezaye mungu atamponyoka,bali mwenye dhambi atanaswa na yeye"(Mhubiri 7:26)
Mpendwa mapepo dume na mapepo jike yapo na ni halisi.pepo mahaba dume kwa kiingereza linaitwa incubus. Pepo jike linaitwa sacubus. pepo dume linauwezo wa kulala na mwanamke kadhalika na pepo jike lina uwezo wa kulala na mwanaume katika ndoto.
Mapepo mahaba yanatoka baharini au kwenye mito au kwenye maziwa.(wote niwatendakazi wa shetani asili yao kuzimu)kuna wanaume ambao wameoa katika hali halisi na pia wameoa katika ulimwengu wa roho.hivyo kunauwezekano wamtu kuwa na mwanamke katika halihalisi na kuwa na kuwa mwanamke katika ulimwengu wa roho.
Solomoni anasema "Nami nimeona lililo na uchungu kupita mauti,yaani mwanamke ambaye moyo wake ni mtego na tanzi,na mikono yake nikama vifungo; yeye ampendezaye mungu atamponyoka,bali mwenye dhambi atanasw na yeye" (Mhubiri 7:26).

Andiko hili linatuonyesha picha ya utendaji kazi wa mapepo mahaba.Na haya mapepo yapo katika jinsia zote.kwahiyo ukipenda dhambi utanaswa na ukichagua kumpendeza mungu utaponyoka.uamuzi ni wako kunaswa au kuponyoka (nimeshakupa maarifa).
Mungu akusaidie uponyoke ndiyo sababu nimeleta kwako samo hili iliujue dalili za mapepo mahaba na ufunguliwe kutoka katika kifungo cha ndoa za mapepo mahaba.
Pepo mahaba ni pepo awezaye kumtawala mwanaume au mwanamke katika ulimwengu wa roho, pepo huyu mchafu ana madhara mengi sana mfano kuzuia kushika mimba au kuharibu mimba,au kuzuia kuoa au kuolewa (kuvunjika uchumba/ndoa) pepo mahaba hujidhihirisha katika ndoto,kwani mtu aliyenaswa na pepo mahaba huota ndoto akifanya ngono.
 
Back
Top Bottom