Tumekupata vilivyo Miradibubu,umetutia ahueni kidogo.
Tutatoa hata michango ya mali kufanikisha hilo.Ikumbukwe kwamba Dodoma ni ngome kuu ya CCM,hivyo inahitajika nguvu za ziada.Nawapongeza CHDEMA UDOM,kwa jitihada zinazoendelea hapo.Ni wazo zuri ofisi ziwe mjini kati pale,coz naamini mtapata wageni wengi sana toka sehemu mbalimbali za nchi hapo tawini.Ningependa tu kuwaomba muwe chachu kwa matawi mengine hapo dom,ni dhahiri matawi mengine,pamoja na CDM Mkoa,bado ni dhaifu sana hapo dom,Tumeshuhudia hayo wakati wa kampeni.Msifanye kazi kama tawi tu la UDOM,Tunaomba mfanye kazi kama ya operation pia,Enendeni mpaka jimbo la Bahi,kule upinzani haupo kabisa na Badwel mbunge wa ccm alipita kiulaini kabisa,ni mbunge mzuri na zahitajika nguvu za ziada kuvunja ngome yake,ni wasomi kama nyinyi mnaweza kulikomboa.Nasema mwende kila jimbo la dom coz nyie mchanganyiko wa watu mbalimbali toka kona mbalimbali za nchi,so haitatosha mkifanya kazi kama tawi tu,mkaikomboe Mvumi pia.Lakini nina wasiwasi mahala fulani,wingi wenu wanachadema hapo UDOM,Ungetosha kabisa kuchukua jimbo la mjini 2015,endapo wakati wa kupiga kura mngekuwa DOM,kama kawaida CCM watakifunga chuo wakati wa kupiga kura ili msipige kura,hapo ndipo tutalikosa jimba tena,sijui mmejipangaje.Pale SAUT Mwanza temefanikiwa kuifukuza CCM kabisa mkoa wa Mwanza na ni kwa jitihada za wanaCDM tawi la SAUT.Sasa tunafanya jitihada kuifukuza CCM kanda nzima ya ziwa na hilo tutalithibitisha uchaguzi ujao.Tuko nyuma yenu kwa hali na mali.
Tutatoa hata michango ya mali kufanikisha hilo.Ikumbukwe kwamba Dodoma ni ngome kuu ya CCM,hivyo inahitajika nguvu za ziada.Nawapongeza CHDEMA UDOM,kwa jitihada zinazoendelea hapo.Ni wazo zuri ofisi ziwe mjini kati pale,coz naamini mtapata wageni wengi sana toka sehemu mbalimbali za nchi hapo tawini.Ningependa tu kuwaomba muwe chachu kwa matawi mengine hapo dom,ni dhahiri matawi mengine,pamoja na CDM Mkoa,bado ni dhaifu sana hapo dom,Tumeshuhudia hayo wakati wa kampeni.Msifanye kazi kama tawi tu la UDOM,Tunaomba mfanye kazi kama ya operation pia,Enendeni mpaka jimbo la Bahi,kule upinzani haupo kabisa na Badwel mbunge wa ccm alipita kiulaini kabisa,ni mbunge mzuri na zahitajika nguvu za ziada kuvunja ngome yake,ni wasomi kama nyinyi mnaweza kulikomboa.Nasema mwende kila jimbo la dom coz nyie mchanganyiko wa watu mbalimbali toka kona mbalimbali za nchi,so haitatosha mkifanya kazi kama tawi tu,mkaikomboe Mvumi pia.Lakini nina wasiwasi mahala fulani,wingi wenu wanachadema hapo UDOM,Ungetosha kabisa kuchukua jimbo la mjini 2015,endapo wakati wa kupiga kura mngekuwa DOM,kama kawaida CCM watakifunga chuo wakati wa kupiga kura ili msipige kura,hapo ndipo tutalikosa jimba tena,sijui mmejipangaje.Pale SAUT Mwanza temefanikiwa kuifukuza CCM kabisa mkoa wa Mwanza na ni kwa jitihada za wanaCDM tawi la SAUT.Sasa tunafanya jitihada kuifukuza CCM kanda nzima ya ziwa na hilo tutalithibitisha uchaguzi ujao.Tuko nyuma yenu kwa hali na mali.