miradibubu
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 312
- 84
- Thread starter
- #41
Tawi litaanzishwa na wote kwa pamoja wafanyakazi na wanafunzi usihofu hata kidogoAhsante sana miradibubu. Mimi ni mwalimu UDOM na ni mfuasi wa Chadema. Ningependa sana kujiunga kwa kuwa na kadi lkn naogopa maana uongozi wa wanajikomba sana kwa JK. Nisijetengwa. Wamekimbilia kumpa Degree na sasa wanajenga JK Square kama Nyerere Square. Tuko pamoja. Je tawi linaanzishwa na wanafunzi au wakufunzi?
Bigup and goodluck!!