Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
Habari zenu wana JF,
Just Mark my words, Hawa jamaa wezi pale Mkwe.re akiwapiga chini kwa Wizi walioufanya,mie ntaenda Mbali zaid kwa kufungua Mashataka Mahakama Kuu hawa Jamaa wavuliwe Ubunge, wafilisiwe na Kusekwa Lupango, kama sio leo (La kuvuliwa Ubunge), Hayo Mengine ntayasimia hata ikiwa 2015 pale CCM itakapokuwa chama cha upinzani....
Just Mark my words, Hawa jamaa wezi pale Mkwe.re akiwapiga chini kwa Wizi walioufanya,mie ntaenda Mbali zaid kwa kufungua Mashataka Mahakama Kuu hawa Jamaa wavuliwe Ubunge, wafilisiwe na Kusekwa Lupango, kama sio leo (La kuvuliwa Ubunge), Hayo Mengine ntayasimia hata ikiwa 2015 pale CCM itakapokuwa chama cha upinzani....