laussane
JF-Expert Member
- Oct 8, 2009
- 255
- 131
Hi wajameni!
Nina rafiki yangu nawasiliananae sana kwa FB, ana kama wiki ya pili sijamuona akilog in, nikampigia simu kufahamu vp mbona apatikani kw FB? akaniambia mme wake amemfungia account. Naomba mnijuze hivo mume kufunga account ya facebook ya mkewe ni wivu uliopitiliza, ubabe, masharti au unyanyasaji? mwanamke hafanyi kazi kwamba atakuwa busy kazini, yupo nyumbani kutwa mzima, yupo mbali na familia yake ya uzawa, kwa maana nchi ya tofauti, mme wake amemfungia account yake ya facebook ambayo kidogo ilikuwa inamsogezea siku kwa kuwasiliana na ndugu jamaa na marafiki, afanye nini? au ni haki yake mume kufanya hivo?
Nina rafiki yangu nawasiliananae sana kwa FB, ana kama wiki ya pili sijamuona akilog in, nikampigia simu kufahamu vp mbona apatikani kw FB? akaniambia mme wake amemfungia account. Naomba mnijuze hivo mume kufunga account ya facebook ya mkewe ni wivu uliopitiliza, ubabe, masharti au unyanyasaji? mwanamke hafanyi kazi kwamba atakuwa busy kazini, yupo nyumbani kutwa mzima, yupo mbali na familia yake ya uzawa, kwa maana nchi ya tofauti, mme wake amemfungia account yake ya facebook ambayo kidogo ilikuwa inamsogezea siku kwa kuwasiliana na ndugu jamaa na marafiki, afanye nini? au ni haki yake mume kufanya hivo?