BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,009
kama mie soon nitabambwa naangalia,nadhani hawataaamini naangalia watu wakitigoana ....:mad2::shut-mouth:
Mhhhhh! haya bana...ole wako ubambwe LOL! utatamani ardhi ipasuke.
kama mie soon nitabambwa naangalia,nadhani hawataaamini naangalia watu wakitigoana ....:mad2::shut-mouth:
Mi dingi alinibamba miaka ile ya tisini naangalia mkanda wa X usiku wa manane. Aakaninyatia sebuleni na kunikwida kwa nyuma " Unafanya nini hapa" nikashindwa kujibu, akanipiga kofi moja na kuniambia nenda kalale, huku yeye akibaki anacheki porn
kama mie soon nitabambwa naangalia,nadhani hawataaamini naangalia watu wakitigoana ....:mad2::shut-mouth:
Umefungua laptop yako na mara unajisikia kutembelea jukwaa la kikubwa baada ya kujiunga kwenye mtandao wa JF,
Wkati unachungulia picha moja baada ya nyingine mara wife yako anatokea na kuanza kufoka kujua ni kwa nini unaangalia picha hizo za ngono.
Kumbe alikuwa akikufuatilia kwa muda tokea unaingia kwenye hilo jukwaa la wakubwa mpaka unafungua baadhi ya wadada wali watupu!
Anaanza kuwaka kwa hasira na kusema kumbe wewe ni msaliti wa ndoa yenu maana haimjii akilini kuanza kuangalia picha za utupu na wakati yupo available..
Kama ndio wewe ungefanya nini kumrudisha wenye mood? msaada tafadhali wanaJF
pole sana kwa yaliyo kukuta uwe makini nyakati zingine.