samora10
JF-Expert Member
- Jul 21, 2010
- 7,594
- 4,798
Samora vipi wewe na chupi ya mtumba? A NO NO au a Yes sometimes?
ha ha ha ha mi hizo kufuli za mtumba hapana aisee... unajua hata kama ni gharama ndogo magonjwa unayoweza kupata kwa kuvaa hizo pichuinaweza kukucost maradufu kwa matibabu