Msandawe Halisi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 647
- 350
Nipo maeneo ya Same, nimeamua kumpa lift mchaga wa kishimundu anaelekea kwao milimani toka Mombo baada ya bageni ya mda mreefu juu ya nauli, nikaona isiwe tabu, bora nimpe lift tu.
Jamaa ndani ya gari ananiabarisha, ukitaka kumjua mpare katika majeruhi wa ajali kama ya basi hivi kwa jinsia ya mwanamme. Wewe tafuta kufuli ya mwanadada hasa Yule aliyenona. Pitisha katika pua za majeruhi wote. Atakayepiga chafya tu, ujue huyo ndiye mpare.
Ya Mombo Tanga nimepeleka kwenye kamati ya mapitio kabla sijaiwakilisha hapa jamvini. Ila nitawapeni kisa na mkasa cha mombo hapo baadae
Siku njema wa JF
Jamaa ndani ya gari ananiabarisha, ukitaka kumjua mpare katika majeruhi wa ajali kama ya basi hivi kwa jinsia ya mwanamme. Wewe tafuta kufuli ya mwanadada hasa Yule aliyenona. Pitisha katika pua za majeruhi wote. Atakayepiga chafya tu, ujue huyo ndiye mpare.
Ya Mombo Tanga nimepeleka kwenye kamati ya mapitio kabla sijaiwakilisha hapa jamvini. Ila nitawapeni kisa na mkasa cha mombo hapo baadae
Siku njema wa JF