Dr wa ukweli
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 900
- 264
mimi siyo mtaalamu sana wa mifugo, mke wangu anataka kufuga kuku nyumbani, tatizo eneo letu ni dogo kiwanja kina ukubwa wa 30 kwa 20 tumejenga 20 kwa 15 nyumba ya kulala, imebaki sehemu ndogo ya uwani kama 20 kwe 10, je panafaa kwa kufugia kuku wengi kama kuku 500 au 1000 na hakuna madhara (kuishi karibu na kuku) kwa binadamu au kuku wenyewe?? naomba ushauri kabla sijamkatalia au kumkubalia (kuku wa mayai au majogoo ya kienyeji)