Kabla ya kununua hiyo modem ulitakiwa kwanza uwaulize wazee Modemu fresh ni ipi ili wakushauri but umesubiri mpaka maji yamekuwa mazito ndo waomba msaada!!naombeni msaada jamani ili niweze kuflash modem yangu ya airtel, modem yangu ni hizi mpya za sasa, nisaidieni hatua kwa hatua namna ya kuiflash ili nitumie line yoyote