wiseboy
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 2,931
- 3,299
wapendwa, mungu awape life zaidi. Jamani mm nataka kuanzisha NGO yangu, dhidi ya haki za wanyama(animal welfare) baada ya kumaliza utafiti wangu. Nimeisha andika proposal na contact za funders ninazo. Swali langu: je nini kinachohitajika zaidi as attachment, je kuna mambo ya kisheria hapa? Endapo una sample ya non-profit proposal, nakaribisha. Natanguliza shukrani kwenu.