kufika naitaji Handbreak!!

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,906
22,021
[h=3]Kufika huko![/h]

Wapo wanawake wambao huamini suala la kufika kileleni (orgasm) huja automatically bila juhudi yoyote. Ingawa kwa mwanaume suala la kufika kileleni ni tofauti na sidhani kama kuna mwanaume anaweza kufanya sex bila kufika kileleni.
Katika ndoa suala la kufika kileleni kwa mwanaume ni suala la kujizuia ili asimalize mapema zaidi ya mke kuridhika.
Kwa upande mwinginewanawake wengi hawajawahi kufika kileleni na wapo ambao hata hawajui kufika kileleni ni kitu gani.
Pia kiwango cha kufika kileleni kutofauti kati ya mwanamke na mwanamke .
Ni jambo la msingi kwa mwanamke kujua kipimo halisi cha kufahamu amefika kileleni au la kwani mwanamke ambaye amefika kileleni katika tendo la ndoa hujisikia tofauti zaidi na yule ambaye hakuweza kufika.
Wakati mwanaume na mwanamke wanafanya maandalizi ya tendo la ndoa (foreplay) ili kusisimuana na kila mmoja kuwa tayari kwa ajili ya tendo la ndoa (intercourse) na wakati wanaendelea na tendo la ndoa huwa anatengeneza nguvu au msukumo (tension) ambayo hupanda kiasi cha kutaka kulipuka (explode) kama namna mwili unajiandaa kupiga chafya.
Na baada ya hiyo nguvu kuwa released awe mwanamke au mwanaume hujisikia relaxed na satisfied na kama hawajafika mmoja hasa mwanamke huweza kujisikia frustrated na bored kama vile alitaka kupiga chafya na ikashindikana.
Suala la kujiuliza haivi kwa nini wanawake wengi hushindwa kufika kileleni?
Kuna mambo mengi yanayochangia mwanamke kushindwa kufika kileleni na mojawapo ni kama ifuatavyo
<!--[if !supportLists]-->1. <!--[endif]-->MALENGO
Kama mwanamke na mwanaume wote kwa pamoja wanaingia chumbani kufanya mapenzi lengo likiwa kufika kileleni basi ni vigumu sana kufika kileleni kwani lengo la tendo la ndoa ni kuridhishana, kuonesha upendo kwa matendo kila mmoja kumtanguliza mwenzake, kutoa na kupokea, siyo kuulizana
“je, umefika kileleni?
Hili ni illegal question chumbani.
Bottom line:
Jambo la msingi ni kupeana raha na kila mmoja kuhakikisha anampa mwenzake raha zaidi ya kawaida na matopkeo yake ni mwanamke kufika kileleni.
<!--[if !supportLists]-->2. <!--[endif]-->NI SUALA LA KUJIFUNZA
Wapo wanawake ambao ni very lazy hata katika issues muhimu sana za maisha yao. Wapo wanawake wanaamini suala la kufika kileleni ni suala na wajibu wa waume zao, labda uwe mwanamke mwenye bahati kubwa kimaumbile kwamba unaweza kufika kileleni kila Mr happy anapokugusa tu ila ukweli ni kwamba unahitaji kujifunza, kuwa na uzoefu na inachukua kazi na kujizoesha na pia kujivumbua mwenyewe kujua ni namna gani mume wako anaweza kukufikisha kileleni huku ukisaidiana naye.
Huwezi kuendesha gari bila kujifunza, huwezi kuwa mwanasheria bila kujifunza na kufika kileleni Je?
<!--[if !supportLists]-->3. <!--[endif]-->KUJIFAHAMU MWENYEWE
Mwanamke anahitaji kujifahamu mwenyewe namna mwili wake unaweza kusisimuliwa na kujifahamu wapi na namna gani kila kiungo kinaweza kumpa raha nk.
<!--[if !supportLists]-->4. <!--[endif]-->MAZOEZI YA KEGEL
Imethibitishwa bila wasiwasi na shaka kwamba mwanamke ambaye anafanya mazoezi ya misuli ya PC huweza kufika kileleni kirahisi kuliko yule ambaye hiyo misuli imelegea.
<!--[if !supportLists]-->5. <!--[endif]-->KUWAJIBIKA
Mwanamke unahitaji kuwa active participant wa sex na mume wako si suala la kulala tu kama furushi na kusubiri mume wako afanye kila analoweza kukupa raha hadi ufike kileleni. Kama unataka mume akuone ovyo na boring basi kaa kimya muda wote usifanye chochote.
Kujifunza zaidi soma hapa
 
Back
Top Bottom