Kuficha mvi ni kumtegea nani?

Siyo mvi tu wengine wanaficha vipara vya asili kwa kunyoa vipara kichwa kizima. Mimi msimamo wangu ni kuwa sifichi mvi wala kipara. I like it when my kids start searching for grey hair on my head and they get excited when they see some.
 
mtu anaweza kuwa 50+ lakini mambo anayofanya ni ya 20+. Hivyo kwa wale wanaopaka rangi mvi ziwe nyeusi hawataki kukubaliana na hali halisi.
 
Siyo mvi tu wengine wanaficha vipara vya asili kwa kunyoa vipara kichwa kizima. Mimi msimamo wangu ni kuwa sifichi mvi wala kipara. I like it when my kids start searching for grey hair on my head and they get excited when they see some.

Tuko pamoja kwenye hili.......................ukweli mtupu ndiyo siri ya kufaidi maisha yetu hapa duniani..............bila ya kujikubali siyo rahisi kuwakubali wengine..........
 
mtu anaweza kuwa 50+ lakini mambo anayofanya ni ya 20+. Hivyo kwa wale wanaopaka rangi mvi ziwe nyeusi hawataki kukubaliana na hali halisi.

umepigilia msumari wa mwisho.........................
 
wahahribifu wa mazingira utawaona tu.............ni vigumu kujificha.......

si kila mtu ana lengo kama unavyodhani sura ya mtu ndiyo inayotafsiri umri wa mtu na si nywele nyeupe kwani mzee wa miaka hamsini hawezi akaonekana wa thelasini, wengi wao wanapata mvi mapema sana kama vile kurithi, n.k
 
si kila mtu ana lengo kama unavyodhani sura ya mtu ndiyo inayotafsiri umri wa mtu na si nywele nyeupe kwani mzee wa miaka hamsini hawezi akaonekana wa thelasini, wengi wao wanapata mvi mapema sana kama vile kurithi, n.k

kwa hiyo tufiche urithi mzito namna hiyo badala ya kujivunia nao?
 
Personally sioni shida na mtu kupaka Super Black, Peacock au hair dye yoyote, provided hamuathiri mtu mwingine...naamini hizo dye hazitoi harufu..
Mtu awe huru kufanya anachotaka, kwanini kupaka kwangu peacock kumshughulishe mtu mwingine?

Sikubaliani kuwa kitendo hicho tafsiri yake ni kuukataa umri, au kutaka mahusiano na wasichana wadogo..si kweli!

Mimi nina Meneja wangu ambaye ni Mlokole full, tena wa ukweli(REFER HOJA YAKO KUPENDA DOGODOGO), ambaye akiacha kutumia hizo hair dye hakika utasema kuwa hiki kibabu kinatafuta nini ofisini, lakini akipiga dye, looooh, ni kjana mwenzetu kabisa, na outlook yake nzima inabadilika kabisa, anakuwa nadhifu sana na very attractive and presentable as an office bearer.
Hii inampunguzia gossips na hivyo he feels good, hence perfomance na efficiency yake inarudi kuwa at maximum.

Kuna watu ambao akiona mvi kwa mtu tu, bila hata kujishughulisha kuwaza kuwa huyu mtu atakuwa na umri gani, basi autasikia anakuita BABU!...this is so disguisting...!

Maturity haiko kwenye mvi jamani...Kuna mkusanyiko wa matendo mengi ambao unamfanya mtu automatically aonekane amepiga mileage!

Mtu kama EL alianza kupata mvi toka ana umri mdogo sana. Sasa mtu kama huyu asingalikuwa ana fedha za kumfanya soap-soap, au tuseme angalikuwa ni masikini mchovu, angeonekana ana miaka 99.
Lakini kwa vile anapaka mafuta mazuri deodorants na perfumes, basi mvi zake hazionekani kuwa kero.

Mi sioni shida na hii makitu, naifananisha na mafuta ya ngozi ambayo inamfanya mtu aonekane na ngozi laini kuliko uhalisia..Sasa sijui kama mtu anayepaka mafuta naye anataka kubeba visichana mtaani!
 
kuna faida gani kuficha mvi huku makunyanzi yanakuumbua kuwa siku zimesogea................lol

Wewe una matatizo ya kisaikolojia unataka maoni ambayo yakufariji. Kwani kama maini yako yameoza hutachana nywele kwa kuwa wewe unakaribia kufa?

Umaridadi ni tabia. Kwa namna yako ya maongezi nina mashaka hufagii nyumbani kwako na nyumba yako imefubaa kwa ukungu na majani yameota mpk nje mlangoni.

Labda nikuulize swali: Ndevu kuota ni dalili ya balehe na ni wajihi wa kiumbe cha kiume. Unaponyoa ndevu zako (au kuzi-style) huwa unaficha nini?
1. Unawadanganya watu kuwa wewe bado ni mtoto hujaota hata ndevu?
2. Unajiremba ili umfurahishe nani?
 
Wewe una matatizo ya kisaikolojia unataka maoni ambayo yakufariji. Kwani kama maini yako yameoza hutachana nywele kwa kuwa wewe unakaribia kufa?

Umaridadi ni tabia. Kwa namna yako ya maongezi nina mashaka hufagii nyumbani kwako na nyumba yako imefubaa kwa ukungu na majani yameota mpk nje mlangoni.

acha hasira......lol.........mbona swali langu unalikwepa........................unaficha mvi kwa manukato?
 
Personally sioni shida na mtu kupaka Super Black, Peacock au hair dye yoyote, provided hamuathiri mtu mwingine...naamini hizo dye hazitoi harufu..
Mtu awe huru kufanya anachotaka, kwanini kupaka kwangu peacock kumshughulishe mtu mwingine?

Sikubaliani kuwa kitendo hicho tafsiri yake ni kuukataa umri, au kutaka mahusiano na wasichana wadogo..si kweli!

Mimi nina Meneja wangu ambaye ni Mlokole full, tena wa ukweli(REFER HOJA YAKO KUPENDA DOGODOGO), ambaye akiacha kutumia hizo hair dye hakika utasema kuwa hiki kibabu kinatafuta nini ofisini, lakini akipiga dye, looooh, ni kjana mwenzetu kabisa, na outlook yake nzima inabadilika kabisa, anakuwa nadhifu sana na very attractive and presentable as an office bearer.
Hii inampunguzia gossips na hivyo he feels good, hence perfomance na efficiency yake inarudi kuwa at maximum.


Kuna watu ambao akiona mvi kwa mtu tu, bila hata kujishughulisha kuwaza kuwa huyu mtu atakuwa na umri gani, basi autasikia anakuita BABU!...this is so disguisting...!


Maturity haiko kwenye mvi jamani...Kuna mkusanyiko wa matendo mengi ambao unamfanya mtu automatically aonekane amepiga mileage!

Mtu kama EL alianza kupata mvi toka ana umri mdogo sana. Sasa mtu kama huyu asingalikuwa ana fedha za kumfanya soap-soap, au tuseme angalikuwa ni masikini mchovu, angeonekana ana miaka 99.
Lakini kwa vile anapaka mafuta mazuri deodorants na perfumes, basi mvi zake hazionekani kuwa kero.


Mi sioni shida na hii makitu, naifananisha na mafuta ya ngozi ambayo inamfanya mtu aonekane na ngozi laini kuliko uhalisia..Sasa sijui kama mtu anayepaka mafuta naye anataka kubeba visichana mtaani!

Nionavyo ni kuwa mvi zinafanya mtu anyanyapaliwe na jamii...........na ushahidi ni eneo nililoliwekea nyekundu........na njia ya kupunguza kunyanyapaliwa ni kuikubali khali halisi..........................na kukataa kujichakachua kwa manukato........jamii inawakataa wenye mvi kwa hiyo wanaona kheri nusu ya shari kuliko shari kamili............kwa hiyo huficha ukweli lakini ukweli ndiyo silaha ya kujibu mapigo ya kunyanyapaliwa...................ukiukimbia ukweli tayari unawapa maadui wako silaha ya kukuandama
 
Umenikumbusha prof mmoja pale UDSM (sasa marehemu, Mungu amrehemu), wengi tulijua hana mvi kichwani...........si akaugua na kulazwa hospitali, kwenda kumjulia hali nusura nimsahau aiseee, kichwa CHA Lowassa cha mtoto........mambo ya piko hayo!
 
sana mvi zangu zinazoanza kuota kichwani. ntahakikisha zinabaki zilivyo ili nipate heshima mapemaaaaaaaaaaaaa, nizizoee mapeam
 
Back
Top Bottom