shizukan
JF-Expert Member
- Jan 16, 2011
- 1,158
- 563
mimi najivunia mvi zangu sioni sababu ya kuzificha kwani nitakuwa ninajihadaa mwenyewe.............pili kwa wale ambao hawapendi ziwe nyingi jibu ni kula kwa kiasi na kufanya mazoezi................tumia njia za asilia badala ya madwa katika kupunguza kuzeeka kwa haraka.........haraka ambako husababishwa na mwili kukosa mazoezi au kuvimbishwa na milo kupita kiasi.......
Kwa hiyo unajivunia kula mno na kutofanya mazoezi au?
Mimi naona bado unajihadaa mwenyewe kwa kujilazimisha na kutulazimisha tuamini kuwa mvi ni busara na shikamoo ni hekima. Ndugu yangu, MVI na KIPARA ni matokeo ya ukosefu wa lishe iliyobalance au kuchoka kwa mwili wako kuzalisha cells zinazohusiana na ukuaji na ubora wa nywele. Kama unaamini mvi ni akili, basi next year utakuwa Head Teacher kwenye moja ya shule za kata wilayani kwako, endelea kuzifuga.