Siku hizi shule ya msingi moja kufaulisha wanafunzi wote au 50%+ siyo tatizo tena kama ilivyokuwa siku za nyuma,maana ilikuwa kufaulu mpaka uchemshe sana bongo.Hofu ni kwamba quality ya wanafunzi hao wanaojiunga na shule za sekondari sasa ni chini sana.Ndio maana wazazi wenye nazo wanawapeleka watoto wao private schools ambako hata mtihani wao wa kujiunga ni mzito kuuzidi huo wa serikali.