Solomon David
JF-Expert Member
- Mar 1, 2009
- 1,148
- 16
Awali - kuna habari kuwa mwandishi wa habari wa Tarime ambaye amehusika sana kwenye kutoa habari za uchafuzi wa mazingira uliofanywa na kampuni za madini tarime amefariki dunia kwa ugonjwa wa moyo (moyo umepasuka).
Update:
Kuna taarifa nilizopata muda mfupi uliopita kuwa familia ya marehemu Makubo inahisi kuwa kuna mkono wa mtu umehusika kwenye kifo cha ghafla na cha mazingira ya kutatanisha cha ndugu yao.
Inasemekana kuwa mazishi hayatafanyika mpaka uchunguzi maalumu ufanyike kuhusu kifo cha Makubo.
Zaidi ya yote - RIP Haruni Makubo.
Watu wa Tarime na watanzania wamepoteza mtu muhimu sana kwenye vita ya kutafuta haki dhidi ya kampuni kubwa la madini.
Update:
Kuna taarifa nilizopata muda mfupi uliopita kuwa familia ya marehemu Makubo inahisi kuwa kuna mkono wa mtu umehusika kwenye kifo cha ghafla na cha mazingira ya kutatanisha cha ndugu yao.
Inasemekana kuwa mazishi hayatafanyika mpaka uchunguzi maalumu ufanyike kuhusu kifo cha Makubo.
Zaidi ya yote - RIP Haruni Makubo.
Watu wa Tarime na watanzania wamepoteza mtu muhimu sana kwenye vita ya kutafuta haki dhidi ya kampuni kubwa la madini.