MJADALA: Je, kuna madhara yoyote ya kufanya mapenzi wakati wa hedhi?

Pamoja na Imani na Dini na kila kitu, hata kama mtu atasema hana Imani na Mungu yoyote yule, nakubaliana na MziziMkavu kwamba mwanamke akiingiliwa wakati wa hedhi hana furaha/raha katika hilo, kwa hiyo inaweza mjejengea hali ya kuichukia hio kitu.

Kwa kuwa hata mimi sijui vizuri nitafurahi nikipata elimu zaidi juu ya hilo hata kutoka kwa wanawake wenyewe.

Ndugu yangu, hujawahi kuwa katika siku zako halafu ukawa karibu na mwenza wako ambaye uanmpenda sanaa halafu akakushika tu hata bega au mkono jinsi unavyosisimka na vitu vinavyomwagika. msisiko huwa unazidi kuliko hata siku za kawaida ila tu ndio sio vizuri kufanya wakati huu ila ikizidi hamu jinsi hakuna najimwaga tu na raha inakuwepo tu
 
Kuna rafiki aliwah kunambia ye alikuwa anaduu na mchumba wake hata akiwa period iyo ni kutokana na kukaa mbalimbali kwa Muda so ikitokea wamekutana na yuko period anaachia mzigo ila anakunywa nani ya ndimu au limao kias na unasema yalikuwa yanakata au kupunguza kabisa damu

Ila me siwezi jaman make nikianza period tu huku kwa bibi hakufai kwa maumivu.
 
Mada hii ni nzuri, mke wangu yeye anadai huwa anapata raha sana kama tukifanya mapenzi akiwa katika siku zake.

Lakini damu ya hedhi ina harufu fulani ndio maana watu wengi na hasa wanawake hawapendi kujamiiana wakiwa katika siku zao.
 
Risk ya kufanya ngono wakati wa hedhi ni katika kuambukizana magonjwa kwa sababu kizazi cha mwanamke unakuwa uko uwazi sana.

Pili japo kwa kiasi kidogo, kuna uwezekano wa kupata mimba.

Habari zingine za njia ya mkojo kuziba na kupata balaa ni hear says na hazina scientific backup.
 
Haya dr. Ulale sasa manake ndoto inayokuja lro ni muhimu sana. Uweke simu yako kwenye bedside manake wire transfer ya fedha kuja kwangu ndo itahusika. Alamsiki.
Bibie King'asti I miss you ngojea niombe kisha ndio nilale

Chapter 6-9-13


9Basi, hivi ndivyo mnavyopaswa kusali: `Baba yetu uliye mbinguni: Jina lako litukuzwe.
10Ufalme wako ufike. Utakalo lifanyike duniani kama mbinguni.
11Utupe leo chakula chetu tunachohitaji.
12Utusamehe makosa yetu, kama nasi tunavyowasamehe waliotukosea.
13Usitutie katika majaribu, lakini utuokoe na yule Mwovu. (Shetani) na utukufu, hata milele. Amina.

Na Nikiomba kwa Dini yangu ya Kiislam.

SURAT AL-FAATIH'A AYA 1-7

1. KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU

2. Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote

3. Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu

4. Mwenye Kumiliki Siku ya Malipo

5. Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada.

6. Tuongoe njia iliyo nyooka
7. Njia ya ulio waneemesha, siyo ya walio kasirikiwa, wala walio potea.

Ameen.
 
Pole na kunimiss. Ila next time make sure una ni-mrs, sawa?
Asante kwa sala. Ila huu ni mlango gani? Naona waweka mstari basi.
Mrs King'asti kumbe wewe ni mke wa mtu? samahani siwezi tena kuku Miss. Nilifikiri hujaolewa.

Injili kama ilivyoandikwa na
Mathayo

MATHAYO Chapter 6:9-13



9
Basi, hivi ndivyo mnavyopaswa kusali: `Baba yetu uliye mbinguni: Jina lako litukuzwe.
10
Ufalme wako ufike. Utakalo lifanyike duniani kama mbinguni.
11
Utupe leo chakula chetu tunachohitaji.
12
Utusamehe makosa yetu, kama nasi tunavyowasamehe waliotukosea.
13
Usitutie katika majaribu, lakini utuokoe na yule Mwovu. (Shetani) na utukufu, hata milele. Amina.
 
Sidhani kwamba kuna tatizo labda kwa mwanamke kama mwanamume atakuingilia akawa na ugonjwa wowote inakuwa rahisi sana kuambukizwa kwa kuwa kizazi kipo wazi sana kama mdau mmoja hapo juu alivyosema.Mi huwaga natumia hivyohivyo ila inakinaisha sana,Hebu watu wa kuleeeeeee pwani karibu na Mombasa nasikia wanapenda sana hii kitu(rain season) nasikia na lile joto lake weeeee!!!!!
 
my friend hiyo ni big noma,Yaani usijaribu kabisaaa,
si unaona siku hizi watu wengi wnalalamika ohoo naishia bao moja tuu mara ohoo jongoo halipandi mtungi, mara ohoooo.....
 
Dah!!!

I dont remember when my menses stops me from making love if i wanted to na sijawahi kupata infection yeyote zaid ya mimba tuuuuuuu ambayo nayo pia nilifurah kuipata.

so far its safe to make love when one is in her menses rather than making love with a girl who has KITANZI!!

Source myself! manake najua wasongo mtanishadadia.
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Risk ya kufanya ngono wakati wa hedhi ni katika kuambukizana magonjwa kwa sababu kizazi cha mwanamke unakuwa uko uwazi sana.

Pili japo kwa kiasi kidogo, kuna uwezekano wa kupata mimba.

Habari zingine za njia ya mkojo kuziba na kupata balaa ni hear says na hazina scientific backup.


Mmh! Interesting!. A doctor's head; sounds like....
 
Risk ya kufanya ngono wakati wa hedhi ni katika kuambukizana magonjwa kwa sababu kizazi cha mwanamke unakuwa uko uwazi sana.

Pili japo kwa kiasi kidogo, kuna uwezekano wa kupata mimba.

Habari zingine za njia ya mkojo kuziba na kupata balaa ni hear says na hazina scientific backup.

Karibu tena Partner!

Naomba ufafanuzi, magonjwa yapi hasa? Na kama wakiamua kujivinjari ya kutumia kifudusi inakuwaje?

Mimi nafikiri ni sababu ya kimapokeo zaidi, na pia kisaikolojia tendo haliwezi kufurahiwa kama bi dada akiwa dry
Inawezekana kuna kuwa na hofu ya kuchafua mashuka, si unajua kufua madoa mekundu ni ishu

Ila nasikia inakuwaga tamu kweli, kugusa tu!! Haaaah
 
Mambo ya Walawi 20:18 - "Tena mtu mume akilala na mwanamke aliye na ugonjwa wake, na kufunua utupu wake, amelifunua jito la damu yake, naye mwanamke amefunua jito la damu yake; wote wawili wakatiliwe mbali na watu wao"
 
kama utakua na ujasiri wa kuingiza dudu yako wakati uke utoa midamu mfululizo sawa unaweza kufanya
 
Risk ya kufanya ngono wakati wa hedhi ni katika kuambukizana magonjwa kwa sababu kizazi cha mwanamke unakuwa uko uwazi sana.

Pili japo kwa kiasi kidogo, kuna uwezekano wa kupata mimba.

Habari zingine za njia ya mkojo kuziba na kupata balaa ni hear says na hazina scientific backup.

mkuu mwanamke hawez kupata mimba akiwa ktk cku zake, kwa sababu wakat huo ovary hazijatoa yai lingne
 
Back
Top Bottom