love more than100
JF-Expert Member
- Jan 27, 2014
- 2,061
- 712
Aaaah... binadamu kwiishaaa.... bado kidogo kufokonyoana kwenye mavi watasema haina madhara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duuuuuuuuh yaaan unamaana ya kuwa uningia mpaka chumviniMaadili jamani wana JF tumieni tafsida
Kati ya cku za hatari na cku za hedhi ww unakuwa na hamu muda gani?Asante kaka,
Ni kweli pia mimi ni mmoja wapo wa wanawake wanaopenda kujamiana sana wakati wa hedhi maana huo ndo wakati najiskia hamu sanaaaaaaaaaaaaaaa.
Kama watu wamefikia kuhalalisha ndoa ya jinsia moja hili halinishangazi.Hili jambo dini zimekataza. Msiwashangae wanaoshabikia. Siku zote dhambi kwa mwanadamu ni tamu. Hakika Mungu ndie mwenye elimu..mbona tusitii makatazo yake.
Hahahaha...hapo umenenaUkiona kitu kinakutatiza achana nacho fanya kingine