Katika kuishi kwangu, kuzaliwa kukulia nakusoma NA KUFANYA KAZI katika jiji la DAR,nnaweza kusema ilikuwa jambo la bahati sana, manake kuna watanzania wengi hawajawahi kufika DSM. Lakini mtazamo wangu wa kuishi, kufanya kazi na kujiendeleza katika jiji la DSM ulibadilika ghafla pale nilipo pata kazi mkoani. Niligundua kuwa, mkoani, kwa mfanya kazi kunaweza kukawa better (KIUCHUMI NA KIMAISHA) kuliko DAR.
Kwa wale waliopo mikoani sasa na ambaowalifanya kazi dar, MTAZAMO WENU UKOJE?
Kwa wale waliopo mikoani sasa na ambaowalifanya kazi dar, MTAZAMO WENU UKOJE?