Calnde
JF-Expert Member
- Oct 7, 2008
- 1,373
- 277
Kuna uzi uliokuwa unasema sisi ndo wanaume bana! Mimi naomba niendeleze kwa kutoa yale nnayodhani hayafai kwa mwanaume kufanya. . .
1. Haipendezi kubana matumizi kwa familia lakini kutumia kwa issue nyingne kama kupiga maji, gari nk
2. Haipendezi mwanaume kutokuwa na utaratibu wa kuwa na refreshment na familia yako
3. Haipendezi mwanaume kuvaa vijinguo vya kubana kama 'skinitait' eti fashion
4. Haipendezi mwanaume kuwakusanya wenzio na kuwahadithia unavyo 'm-do' mkeo au mpenzi wako.
5. Na hii tabia ya wanaume kujipodoa kupitiliza, sijui kujichubua, lipshine, kuweka dawa nywele za kiafrika, kuvaa hereni pia naona haipendezi.
6. Wanaume mnatembea barabarani mnashikana shikana mikono, mara kukumbatiana (kumbuka hapa simaanishi kwa kusalimiana) haipendezi.
7. Mwanaume kuwa mmbea, haifai
8. Kupiga mkeo, aah mbaya sana
Waweza endeleza
1. Haipendezi kubana matumizi kwa familia lakini kutumia kwa issue nyingne kama kupiga maji, gari nk
2. Haipendezi mwanaume kutokuwa na utaratibu wa kuwa na refreshment na familia yako
3. Haipendezi mwanaume kuvaa vijinguo vya kubana kama 'skinitait' eti fashion
4. Haipendezi mwanaume kuwakusanya wenzio na kuwahadithia unavyo 'm-do' mkeo au mpenzi wako.
5. Na hii tabia ya wanaume kujipodoa kupitiliza, sijui kujichubua, lipshine, kuweka dawa nywele za kiafrika, kuvaa hereni pia naona haipendezi.
6. Wanaume mnatembea barabarani mnashikana shikana mikono, mara kukumbatiana (kumbuka hapa simaanishi kwa kusalimiana) haipendezi.
7. Mwanaume kuwa mmbea, haifai
8. Kupiga mkeo, aah mbaya sana
Waweza endeleza