The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Hahahaha!!!!Hahahahaha UNALO.
Sio unajifanya hapa JF we matawi wakati hata pesa ya mshumaa huna. Kila siku unadoea kwa jirani.
Lizzy namjua sana yule asikwambie mtu shuleni alikuwa akipigwa anakimbilia kwangu leo hii anajifanya sista du kweli kwa vile anafanya kazi BOT...
Smile utaniambia nini kuhusu yeye namjua IN and OUT kipindi ananiomba nauli ya kwenda shule sasa hivi kapata kazi ana gari anajifanya kuniwekea tinted.
The Boss nilikuwa namtuma sigara dukani daily sasa hivi kawa kijana mkubwa basi tabu tupu kweli kapata visenti hata kusalimia hamna.
Nyani Ngabu tokea arudi kutoka States dah kutuchunia kweli sijui anatuchukulia poa kwa vile kapiga shule lakini asikwambie mtu tulikuwa tunakula nae mihogo hapa daily
Kongosho namjua sana yule mtoto mdogo haniambii chochote nimembeba sana wakati analialia.
EMT namjua sana nimemsaidia sana wakati anakuja analala sana nyumbani siku hizi kajenga basi anajiona mjanja kweli.
:lol::lol::eyebrows: