Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
Ukishahusisha sura yako, jina lako halisi na identinty
Mpaka ulobaki ni mdogo sana
Kama ni mtu smart
Anakupata kirahisi sana
Hata hivyo kudhuriwa nako kunategemea wewe ni nani
Sidhani kama mtu ana-interest ya kudhuru kapuku
For what?
Mpaka ulobaki ni mdogo sana
Kama ni mtu smart
Anakupata kirahisi sana
Hata hivyo kudhuriwa nako kunategemea wewe ni nani
Sidhani kama mtu ana-interest ya kudhuru kapuku
For what?
kufahamiana hakuna tatizo ila lazima kuwe na mipaka.........