nani alikuwa na hakika kuwa yule mtoto alikufa. je kuna mtu aliyempima kusema kweli kafa? sio usanii wa wahubiri
Very good question, signs za mtu kufa nimezieleza hapo kwenye posts zangu, after all watu zaidi ya laki tano including medical doctors hatuwezi kushindwa kujua kama mtu amekufa au la, tena for seven days.
Halafu mbona unaona ajabu sana mtu kufufuka, kama Yesu ameagiza wafuasi wake wafufue wafu basi hakuna wa kupinga, watafufuka tu. Na nimeshakupa shule awali kuwa mtu ni roho, ukimuagiza arudi kwenye mwili wake mashetani waliomshikilia wanapigwa na radi toka mbinguni wanamuachia na anarudi kwenye mwili wake, halafu wanadamu mnasema amefufuka, kumbe mpangaji amerudi kwenye nyumba yake ambayo ni mwili wake. Ni maarifa tu dadaangu, tunaangamia kwa kuyakosa haya maarifa.