Iron Lady
JF-Expert Member
- Mar 4, 2008
- 4,071
- 1,363
Naomba kuelimishwa juu ya hiki kitu kufa.
Tukisema mtu kafa kinachokufa ni nini? Je, kutopumua ni kufa? Brain kutofanya kazi ni kufa? Mapigo ya moyo yakiacha kufanya kazi ndio kufa au roho kutoka ndio kufa?
Napata shida mno nisaidieni maana naanza kuhisi watu wanaweza kuwa wanazikwa wazima.
Tukisema mtu kafa kinachokufa ni nini? Je, kutopumua ni kufa? Brain kutofanya kazi ni kufa? Mapigo ya moyo yakiacha kufanya kazi ndio kufa au roho kutoka ndio kufa?
Napata shida mno nisaidieni maana naanza kuhisi watu wanaweza kuwa wanazikwa wazima.