Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Kamarade, Waberoya & Co.
Mumebugi mtindo wa kuanzisha chama chenu cha Kigoma United Front.
Mwamchukia Dr. Slaa kwa sababu ya wivu na ubinafsi.
Mwamchukia Freeman Mbowe kwa sababu ya wivu na ubinafsi.
Lakini hata waasisi wa Chadema mwawachukia pia?
Angalieni. Mtalaaniwa.
Chadema kinapendwa na WaTz, siyo na kikundi chenu cha wahuni wanachama waasi wa KUF.
KUF kitakosa usajili.
KUF kitakufa kama CCJ.
Mumebugi mtindo wa kuanzisha chama chenu cha Kigoma United Front.
Mwamchukia Dr. Slaa kwa sababu ya wivu na ubinafsi.
Mwamchukia Freeman Mbowe kwa sababu ya wivu na ubinafsi.
Lakini hata waasisi wa Chadema mwawachukia pia?
Angalieni. Mtalaaniwa.
Chadema kinapendwa na WaTz, siyo na kikundi chenu cha wahuni wanachama waasi wa KUF.
KUF kitakosa usajili.
KUF kitakufa kama CCJ.