karibu kwenye chama anytime charminglady but kuna makaraha pia! so kuvumilia tu, ndio kila kitu!
kuna mama alikuwa anafunga chumba chake kila siku, kuna siku akahisi kaibiwa chumbani, akaamua kubadilisha kitasa........ si akakuta karushiwa spare key ya kile kitasa alichobadilisha! hawa watu wakiamua wanaweza kufanya lolotehee kumbe na chumban kwenu huwa mnapaacha wazi?
all the best kuvumbuana
umewahi ku-imagine mwanaume kusutwa?.......... yatakukutaMmmmmh....ujue wewe jirani yangu..nina mengi nakusitiri..Mwanaume hawi mbea
ha ha haa hata sijui alikuwa na nani huko zamani...
kwani wewe uko single? mbona anakuogopa hivyo?
shangaaaaaa, chezea mke wa mtu.............. si unajua siku hizi watu wanataka wake za watu..................... hakuna commitment wala kusumbuana usiku mkali. kila mtu anakuwa na wake mida hiyo
kuna mama alikuwa anafunga chumba chake kila siku, kuna siku akahisi kaibiwa chumbani, akaamua kubadilisha kitasa........ si akakuta karushiwa spare key ya kile kitasa alichobadilisha! hawa watu wakiamua wanaweza kufanya lolote
wananipiga vita marafiki zako
wanataka niondoke kwako
asante kwa kusimamia upande wangu
kweli wee ni 'gentleman' mwaaah!
wivu sina, roho inauma saaanaaaaaaaaa................ kama nakuona vile!
now unaona how it is so privileged and a lot of prestige
to be 'Mrs Boss'
so this title inakwenda na 'kujiheshimu'..na kuwa makini...
otherwise 'kazi ni kwako'
ctishiki ng'o,afu akicheza naye nampiga chini kha!
Msimtie presha my chic ice vannila...........tunavumbua kwanza halafu tunajitambua tunamalizia kula pensheni
bora kukiwa wazi atasema nitazihesabu kesho, kesho, kesho............... siku zinaendamh,mabwaku km ndo hvo. sa ukiacha waz c ndo atakagua idadi ya pichu zako na za mume na kila korokocho?
ha haaaaaaaaaaaa, naona unaanza kurusha majungu, lol!ha ha ha, dah nimeamini
huyu huyu FP alikuwa ananiambia wee una nyumba ndogo wengi
kumbe anataka niondoke bure?? Lol
kama upendavyo, mie nafuata Mr Boss.
FP, kanywe sumu na fitna zako na akina Charminglady na platzoom.