Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,458
- 29,151
Wadau,
Nimekua nikiona watu wanaendesha magari yao mchana huku wamewasha taa. Uwashaji huu sio ule unaohusiana na matukio ya dharura kama msiba, harusi, msafara au vingine.
Hata aina za magari yanayowasha taa ni zile za aina flani hivi ambazo labda ukiiuza moja basi unaweza kununua vi-Carina vyetu kama 8 au zaidi.
Sasa nimeshindwa kupata jibu juu ya hii tabia, nilipata kuwaza labda ni kutafuta attention kwa watu wengine waziangalie gari zao zilivyo kali.
Pia nikafikiri labda dashboard zao zina giza so inabidi wawashe parking muda wote.
Au pengine wanatoa tahadhari ili tusiwaguse/tusiwagonge maana gari zao ni expensive sana.
But yote ya yote sijapata jibu juu ya hii tabia. Wadau naombeni msaada wenu please.
Nimekua nikiona watu wanaendesha magari yao mchana huku wamewasha taa. Uwashaji huu sio ule unaohusiana na matukio ya dharura kama msiba, harusi, msafara au vingine.
Hata aina za magari yanayowasha taa ni zile za aina flani hivi ambazo labda ukiiuza moja basi unaweza kununua vi-Carina vyetu kama 8 au zaidi.
Sasa nimeshindwa kupata jibu juu ya hii tabia, nilipata kuwaza labda ni kutafuta attention kwa watu wengine waziangalie gari zao zilivyo kali.
Pia nikafikiri labda dashboard zao zina giza so inabidi wawashe parking muda wote.
Au pengine wanatoa tahadhari ili tusiwaguse/tusiwagonge maana gari zao ni expensive sana.
But yote ya yote sijapata jibu juu ya hii tabia. Wadau naombeni msaada wenu please.