Kuelekea Ujamaa Mamboleo - Toward Neo-Socialism

Ahahahahahahaa....ni vigumu sana kupingana na facts babu. Na wengin wanaopinga kuwa Miafrika Ndivyo Tulivyo wanapinga tu kwa sababu ya pride na si kingine. Na wanapinga wakiwa majuu. Mimi nataka wapinge wakiwa kwa Mfuga Mbwa huku wakiwa wamezungukwa na dhiki, uchafu, takataka, mavumbi, joto, njaa, n.k.

Dhana kwamba miafrika ndivyo tulivyo pia ni very negative,mimi si kwamba nakubaliana nayo ila wengi wenu mnakubaliana na kubishana kuhusu hilo kwangu binafsi hakupo tena,kila mtu abaki na mtizamo wake,lakini kama kweli unaamini kuwa sisi binadamu waafrika ndivyo tulivyo kwasababu eti ya Mungu kuzipendelea race nyingine,then huo ndo ufafanuzi wako na ndio maana hata wakoloni waliwaambia mababu zetu kuwa Mungu anasema nikikupiga kibao shavu hili geuza na lingine,waliokuwa wakiamini sisi ndivyo tulivyo walifanya hivyo,kadhalika na sasa nchi zinauzwa kwa wageni kwasababu mtu mwenye mentality kuwa miafrika ndivyo ilivyo ana haja gani ya kufanya kitu kwa miafrika hiyo,si ni slave trade tu ilikuwa aboloshed recently kwa sababu miafrika si iliuza miafrika myenzao na sasa ni madini,mbuga nk?Bila kusahahu utu?

Tukirudi kweye ukweli kuhusu sayansi ya asili ya mwanadamu wewe una maoni gani?Je wewe unazungumzia miafrika colorwise ama unamaanisha mwafrika kama mwanadamu miwngine yoyote yule ambapo tofauti kwa rangi tu? Kwamba we all have a common ancestor? Do you know how life started?
 
I don't know how life started in general. Do you know? But I can speak of how my life started and that is when I was conceived.

Nazungumzia life in general...Kwani wewe ndo wa kwanza kuzaliwa hapa duniani?
Do you know what you need to have life?How life started?Do you know components of life?
 
Nazungumzia life in general...Kwani wewe ndo wa kwanza kuzaliwa hapa duniani?
Do you kno what you need to have life?Do you kno components of life?

Okay, sijui uhai uliaanzaje na mpaka sasa hakuna aliyenionesha bila chembe ya shaka kuwa anajua zaidi ya kukisia kisia na kudhania tu na kuja na nadharia ambazo haziwezi hata kuthibitishwa.
 
Okay, sijui uhai uliaanzaje na mpaka sasa hakuna aliyenionesha bila chembe ya shaka kuwa anajua zaidi ya kukisia kisia na kudhania tu na kuja na nadharia ambazo haziwezi hata kuthibitishwa.[/QUOTE

Do you know enthing about eukaryotes and prokaryotes?
 
Dhana kwamba miafrika ndivyo tulivyo pia ni very negative,mimi si kwamba nakubaliana nayo ila wengi wenu mnakubaliana na kubishana kuhusu hilo kwangu binafsi hakupo tena,kila mtu abaki na mtizamo wake,lakini kama kweli unaamini kuwa sisi binadamu waafrika ndivyo tulivyo kwasababu eti ya Mungu kuzipendelea race nyingine,then huo ndo ufafanuzi wako na ndio maana hata wakoloni waliwaambia mababu zetu kuwa Mungu anasema nikikupiga kibao shavu hili geuza na lingine,waliokuwa wakiamini sisi ndivyo tulivyo walifanya hivyo,kadhalika na sasa nchi zinauzwa kwa wageni kwasababu mtu mwenye mentality kuwa miafrika ndivyo ilivyo ana haja gani ya kufanya kitu kwa miafrika hiyo,si ni slave trade tu ilikuwa aboloshed recently kwa sababu miafrika si iliuza miafrika myenzao na sasa ni madini,mbuga nk?Bila kusahahu utu?

Tukirudi kweye ukweli kuhusu sayansi ya asili ya mwanadamu wewe una maoni gani?Je wewe unazungumzia miafrika colorwise ama unamaanisha mwafrika kama mwanadamu miwngine yoyote yule ambapo tofauti kwa rangi tu? Kwamba we all have a common ancestor? Do you know how life started?

Jmushi1:

Mimi ni mtu very experimental. Evolution and Intelligent design, vyote vina-point out kuwa kuwa asili ya binadamu ni moja. Kama asili ni moja ni kitu gani kilichobadilisha au kudumaza uwezo wa kundi fulani la watu. Na kitu gani kilichoboroshe kundi jingine. Je ni mazingira? Baraka za Mungu? Bahati? au kitu gani?

Kwa upande wangu mimi, kuna sababu nyingi za kudumaza maendeleo yetu. Lakini sababu zingine zikiendelea kwa muda mrefu hazi-make sense at all.

Tunaposema yamedumaa kwa sababu tulitawaliwa. Ni lazima tujiulize je tusingetawaliwa maendeleo yangetokea? Hivyo nina-rule out kutawaliwa kama ni chanzo cha kudumaa kwa maendeleo yetu. Vilevile nina-rule out utumwa. Vilevile nina-rule out vita vya Uganda na kuvunjika kwa jumuia ya EA.

So far, my favourite execuse ni mazingira kwa sababu ninaweza ku-point ABC za kwanini sisi tuko nyuma. Pamoja na hii kuwa my favourite, bado nina swali linalonisumbua. Je mtu akitokea na kuweza kutuboreshea mazingira yetu, tunaweza kuwa wabunifu?

Point za Ngabu nazikubali kwa shingo upande kwa sababu data zipo upande wake. Nchi zote za kiAfrika hakuna zinazofanya vizuri na hii sio coincidency ni pattern.

Tukirudi kwenye mada, kama mambo yetu ni pattern, je itasaidia kuwa na nadharia mpya kama Ujamaa mamboleo?
 
Point za Ngabu nazikubali kwa shingo upande kwa sababu data zipo upande wake. Nchi zote za kiAfrika hakuna zinazofanya vizuri na hii sio coincidency ni pattern

Zakumi, vipi Afrika Kusini? Bila wazungu kuwepo kwa wingi na kushikilia madaraka kwa muda mrefu kungekuwa jinsi kulivyo leo hii? Mwakani wana host mashindano ya kombe la dunia kwa sababu ya uchumi na miundombinu waliyonayo. Kwa nini hayo mashindano hayajawahi kufanyika Afrika hata mara moja?
 
Jmushi1:

Mimi ni mtu very experimental. Evolution and Intelligent design, vyote vina-point out kuwa kuwa asili ya binadamu ni moja. Kama asili ni moja ni kitu gani kilichobadilisha au kudumaza uwezo wa kundi fulani la watu. Na kitu gani kilichoboroshe kundi jingine. Je ni mazingira? Baraka za Mungu? Bahati? au kitu gani?

Kwa upande wangu mimi, kuna sababu nyingi za kudumaza maendeleo yetu. Lakini sababu zingine zikiendelea kwa muda mrefu hazi-make sense at all.

Tunaposema yamedumaa kwa sababu tulitawaliwa. Ni lazima tujiulize je tusingetawaliwa maendeleo yangetokea? Hivyo nina-rule out kutawaliwa kama ni chanzo cha kudumaa kwa maendeleo yetu. Vilevile nina-rule out utumwa. Vilevile nina-rule out vita vya Uganda na kuvunjika kwa jumuia ya EA.

So far, my favourite execuse ni mazingira kwa sababu ninaweza ku-point ABC za kwanini sisi tuko nyuma. Pamoja na hii kuwa my favourite, bado nina swali linalonisumbua. Je mtu akitokea na kuweza kutuboreshea mazingira yetu, tunaweza kuwa wabunifu?

Point za Ngabu nazikubali kwa shingo upande kwa sababu data zipo upande wake. Nchi zote za kiAfrika hakuna zinazofanya vizuri na hii sio coincidency ni pattern.

Tukirudi kwenye mada, kama mambo yetu ni pattern, je itasaidia kuwa na nadharia mpya kama Ujamaa mamboleo?

Kisayansi kama wanadamu hatuna tofauti,wote tunahitaji amino acid block ambayo ndiyo basic form of life,Nyani pointi yake yeye ni kuwa tumealaaniwa na Mungu or something,huo ni uamuzi wa imani yake na ndio maana siwezi kendelea kubishana naye....Na ndiyo maana mjadala huu inabidi tuamue sasa kwamba kama ni Mungu(Rejea red highlits hapo juu) Then muedelee kusema ndivyo tulivyo kwasababu Mungu aliamua kuwapendelea wazungu.

Tukija kwene mazingira nakubaliana kuwa inawezekana ikawa ni sababu iliyowapumbaza wenyeji wa maeneo kama ya Afrika...Lakini ndugu yangu kama umeyataja matatizo yote hao ambayo yameipata Afrika ndio maana halisi kabisa ya how Afrika was shaped,kuanzia utumwa,ukoloni,ukoloni mamboleo,yote hayo yana impact kubwa sana kwa maendeleo ya Afrika.
Chukulia tu mfano rahisi wa utumwa,walibebwa wale wote wenye nguvu,vijana,na wakabakizwa watoto wadogo na vizee viajuza,sasa nani atakaeendeleza jamii na kufanya kazi za kimaendeleo?watoto?maajuza?

Hilo gap hapo lilikuwa ndo mwanzo wa yote hayo kwasababu sasa wazee hao wanakufa kwa njaa na watoto wanabaki hoe hae bila hata ya kupata mafunzo ya namna ya kukabiliana na mazingira. Wakuu kusoma tu history na reality yenyewe ni vitu viwili tofauti,kama kwenye news ambazo bado ziko manipulated na wale wale walotunyima uhuru kuwa sasa tuko huru,in reality hatuko huru na ndo ukweli huo na historia ndio italiweka hilo wazi....Tutaandika hapa lakini historia ikija kuandikwa wataangalia yapi yanamake sense na yapi yamekuwa kweli.

Baada ya matatizo yote hayo ya utumwa ukoloni nk kuwa abolished,je si bado tuna mawasiliano na wale wale waliokuwa wakitutawala?je mawasiliano hayo yamekatwa? Je mawasiliano na hayo yanaendana na uhuru wa kweli na maamuzi fair na yenye faida kwa pande zote? Na mawasiliano hayo yakikatwa kama tusipokubaliana na masharti yao tuta survive? Ni mawazo ambayo viongozi wetu wanatakiwa wajiulize,je tukiacha bakuli tutaendelea? So far hapo ndo tulipo,bakuli na corruption,lakini kuwajumuisha mashujaa wetu waliompiga mkoloni na kusema eti na wao ndivyo walivyo kwangu binafsi hakuna mantiki.
 
Last edited:
Zakumi, vipi Afrika Kusini? Bila wazungu kuwepo kwa wingi na kushikilia madaraka kwa muda mrefu kungekuwa jinsi kulivyo leo hii? Mwakani wana host mashindano ya kombe la dunia kwa sababu ya uchumi na miundombinu waliyonayo. Kwa nini hayo mashindano hayajawahi kufanyika Afrika hata mara moja?

Kwasababu licha ya Apartheid system bado walikuwa supported na mataifa makubwa,wote ni kama ndugu tu...Tena hata jamaa yako Dick Chenney alipiga kura Mandela asiachiwe huru,ndivyo mlivyo.
 
Kwasababu licha ya Apartheid system bado walikuwa supported na mataifa makubwa,wote ni kama ndugu tu...Tena hata jamaa yako Dick Chenney alipiga kura Mandela asiachiwe huru,ndivyo mlivyo.

Hayo mataifa makubwa ni ya wazungu au?
 
Hayo mataifa makubwa ni ya wazungu au?

Uko serious? Maana utakuwa hujui basic history.....Sasa tumia ubongo wako,neighboords za weusi hapa zinaweza kuwa deprived of basic needs hence impoverished na hata maendeleo ndo iwe huko Afrika?
 
Kisayansi kama wanadamu hatuna tofauti,wote tunahitaji amino acid block ambayo ndiyo basic form of life,Nyani pointi yake yeye ni kuwa tumealaaniwa na Mungu or something,huo ni uamuzi wa imani yake na ndio maana siwezi kendelea kubishana naye....Na ndiyo maana mjadala huu inabidi tuamue sasa kwamba kama ni Mungu(Rejea red highlits hapo juu) Then muedelee kusema ndivyo tulivyo kwasababu Mungu aliamua kuwapendelea wazungu.

Tukija kwene mazingira nakubaliana kuwa inawezekana ikawa ni sababu iliyowapumbaza wenyeji wa maeneo kama ya Afrika...Lakini ndugu yangu kama umeyataja matatizo yote hao ambayo yameipata Afrika ndio maana halisi kabisa ya how Afrika was shaped,kuanzia utumwa,ukoloni,ukoloni mamboleo,yote hayo yana impact kubwa sana kwa maendeleo ya Afrika.
Chukulia tu mfano rahisi wa utumwa,walibebwa wale wote wenye nguvu,vijana,na wakabakizwa watoto wadogo na vizee viajuza,sasa nani atakaeendeleza jamii na kufanya kazi za kimaendeleo?watoto?maajuza?

Hilo gap hapo lilikuwa ndo mwanzo wa yote hayo kwasababu sasa wazee hao wanakufa kwa njaa na watoto wanabaki hoe hae bila hata ya kupata mafunzo ya namna ya kukabiliana na mazingira. Wakuu kusoma tu history na reality yenyewe ni vitu viwili tofauti,kama kwenye news ambazo bado ziko manipulated na wale wale tuko huru,in reality hatuko huru na ndo ukweli huo na historia ndio italiweka hilo wazi....Tutaandika hapa lakini historia ikija kuandikwa wataangalia yapi yanamake sense na yapi yamekuwa kweli.

Baada ya matatizo yote kupatikana,je si bado tuna mawasiliano na wale wale waliokuwa wakitutawala,je mawasiliano hayo yamekatwa? Na akikatwa kama tusipokubaliana na masharti yao tuta survive? Ni mawazo ambayo viongozi wtu wanatakiwa wajiulize,je tukiacha bakuli tutaendelea? So far hapo ndo tulipo,bakuli na corruption,lakini kuwajumusha mashujaa wetu waliompiga mkoloni na kusema eti na wao ndivyo walivyo kwangu binafsi hakuna mantiki.

Hizi nafikiri ni propaganda
Kama kweli unafuatilia historia jaribu kuangalia wakati mkoloni anaingia tulikuwa tunaishi vipi na baada ya mkoloni ilikuwa je? Ama fuatilia historia pia nchi zilizopata uhuru juzijuzi ndizo zinaunafuu kiuchumi kwanini?Hata kwa Mgabe wakati wanamkabidhi uhuru ni tofauti na leo nchi yake ilivyo.

Kama unapenda ukweli fuatilia ukweli wenyewe Ukienda AFRIKA KUSINI sehemu wanapoishi waafrika ni kuchafuu balaa tofauti na kwingine hata ukienda Johanesbag mji wa waafrika wengi ni mchafu karibu na Dar labda wawe wameusafisha sababu ya kombe la dunia lakini mji wanaoishi wazungu wengi DURBAN kusafi kweli.

Tatizo la Ndivyo tulivyo mababu zetu walivyokuwa wanachapwa viboko ili waende shule waliona eti wanaonewa.Kwa macho yangu hadi juzijuzi tu kuna jamii bongo kupeleka mtoto shule ilikuwa mpaka polisi ashike bunduki akamtishe mzazi.sie ndivyo tulivyo
 
Hizi nafikiri ni propaganda
Kama kweli unafuatilia historia jaribu kuangalia wakati mkoloni anaingia tulikuwa tunaishi vipi na baada ya mkoloni ilikuwa je? Ama fuatilia historia pia nchi zilizopata uhuru juzijuzi ndizo zinaunafuu kiuchumi kwanini?Hata kwa Mgabe wakati wanamkabidhi uhuru ni tofauti na leo nchi yake ilivyo.

Kama unapenda ukweli fuatilia ukweli wenyewe Ukienda AFRIKA KUSINI sehemu wanapoishi waafrika ni kuchafuu balaa tofauti na kwingine hata ukienda Johanesbag mji wa waafrika wengi ni mchafu karibu na Dar labda wawe wameusafisha sababu ya kombe la dunia lakini mji wanaoishi wazungu wengi DURBAN kusafi kweli.

Tatizo la Ndivyo tulivyo mababu zetu walivyokuwa wanachapwa viboko ili waende shule waliona eti wanaonewa.Kwa macho yangu hadi juzijuzi tu kuna jamii bongo kupeleka mtoto shule ilikuwa mpaka polisi ashike bunduki akamtishe mzazi.sie ndivyo tulivyo

Mkamap,kazi ni kubwa,sasa nakwambia hivi,tembele sehemu mbali mbali za mashambani za ulaya ama USA,wakulima hajasoma lakini wana pesa vibaya mno na serikali zao zinawapa mahitaji muhimu kutokana na kodi wanayokatwa,nyie acheni kuwachanganya wananchi ambao hata elimu yenyewe hamtaki wapate kwani ni mtu gani mwenye elimu mnayosema nyie mumewapa atakayeuza kura ambayo ni sawa na uhuru kwa pilau,kanga ama kandambili?

Hayo ya Durban rejea posting yangu iliyopita niliyokuwa nikimjibu Nyani,hata hapa USA quality ya lets say maji tu inabadilishwa from neighborhood to neighborhood,kwahiyo wewe unanyeshea ukoka wako unashangaa mbona wa mzungu ndo unakuwa wa kijani tu? Unakuja kushangzwa kuwa maji hayo yako treated tofauti hence differente results....Same things with social servives na kama shughuli kuu za kiuchumi bado zinamilikwa na wachache basi tegemea neema iwe kwa hao hao wachache.

Huwezi kutegema uchumi wa mtawaliwa uwe sawa tu na uchumi wa mtawala ama mtumwa awe sawa na alyemweka utumwani for centuries,halafu kwa muda wa vijimiaka kadhaa tu toka wapate uhuru?

Halafu unadhani uhuru ulitolewa kama sadaka? Na unadhani kama watu walikuwa smart kutuweka utumwani na kutucolonise unadhani hawatakuwana plan b? Tena kama walikuwa wakichukua bure unadhani watapenda kulipa kingi ili uweze kupata faida? Ili iweje? Ili wewe uwe bwana mkubwa? na yeye awe nani?

Wakati wazungu walisoma both religion and science,sisi tumebaki kwenye dini na Mzungu na hata mwarabu ataacha vipi kuwa Mungu mtu?
 
Uko serious? Maana utakuwa hujui basic history.....Sasa tumia ubongo wako,neighboords za weusi hapa zinaweza kuwa deprived of basic needs hence impoverished na hata maendeleo ndo iwe huko Afrika?

Nani anatawala hizo neighborhoods za weusi? Si weusi wenyewe au?
 
Mkamap,kazi ni kubwa,sasa nakwambia hivi,tembele sehemu mbali mbali za mashambani za ulaya ama USA,wakulima hajasoma lakini wana pesa vibaya mno na serikali zao zinawapa mahitaji muhimu kutokana na kodi wanayokatwa,nyie acheni kuwachanganya wananchi ambao hata elimu yenyewe hamtaki wapate kwani ni mtu gani mwenye elimu mnayosema nyie mumewapa atakayeuza kura ambayo ni sawa na uhuru kwa pilau,kanga ama kandambili?

Hayo ya Durban rejea posting yangu iliyopita niliyokuwa nikimjibu Nyani,hata hapa USA quality ya lets say maji tu inabadilishwa from neighborhood to neighborhood,kwahiyo wewe unanyeshea ukoka wako unashangaa mbona wa mzungu ndo unakuwa wa kijani tu? Unakuja kushangzwa kuwa maji hayo yako treated tofauti hence differente results....Same things with social servives na kama shughuli kuu za kiuchumi bado zinamilikwa na wachache basi tegemea neema iwe kwa hao hao wachache.

Huwezi kutegema uchumi wa mtawaliwa uwe sawa tu na uchumi wa mtawala ama mtumwa awe sawa na alyemweka utumwani for centuries,halafu kwa muda wa vijimiaka kadhaa tu toka wapate uhuru?

Halafu unadhani uhuru ulitolewa kama sadaka? Na unadhani kama watu walikuwa smart kutuweka utumwani na kutucolonise unadhani hawatakuwana plan b? Tena kama walikuwa wakichukua bure unadhani watapenda kulipa kingi ili uweze kupata faida? Ili iweje? Ili wewe uwe bwana mkubwa? na yeye awe nani?

Wakati wazungu walisoma both religion and science,sisi tumebaki kwenye dini na Mzungu na hata mwarabu ataacha vipi kuwa Mungu mtu?

Sasa hii post yako mbona inadhilisha kuwa ndivyo tulivyo. Kwanza kabisa ukitumia logic tu ya kawaida kucolonaiziwa ni moja ya sababu kuwa ndivyo tulivyo. Unaona kabisa Wazungu kumi waliweza kushinda vita dhidi ya mababu zetu, wewe unafikiri kwanini walishinda vita kiurahisi??

Sijaelewa mfano wa mashamba unataka kusema nini?
 
Back
Top Bottom