Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,604
- 1,704
- Thread starter
- #61
Mwafrika hawezi kukomboka. Kama angekuwa anaweza angekuwa keshakomboka zamani za kale. Au wewe mfuasi wa Ujamaa unadhani ni lini Mwafrika atakomboka?
Saa ya Ukombozi ni Sasa - Usiniulize Nani Mwanzilishi wa 'Falsafa' Hii ya Kukomboka!