Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa CHADEMA 2008: Nani ni nani!

Bi. Asha Abdala,

Bibie unajua kuna watu kama sisi ambao kila kinachoandikwa hapa hukigeuza na kukitazama upande wa pili kabla hatujachagia kitu...

Sasa tuseme mimi binafsi sikubaliani na baadhi ya nafasi zilizotolewa hapo juu itakuwaje?..mathlan binafsi sioni kabisa sababu ya kuwa na Kambi ya Wazee ama Wanawake kisiasa, unless hilo la viti vya Wazee utaratibu wake umetokana na mila zetu za kiasili ambayo yanawapa wazee nguvu kubwa kuliko mwenyekiti wa chama (mfano ni maamuzi kuhusiana na Mh. Wangwe).

WHY nasema hivi:-
Kujenga tabaka za Wanawake na Wazee ndani ya chama ni moja ya kuongeza kongamano za kisiasa ndani ya chama ambazo zinatazama na kujenga kundi moja la maumbile ama umri ktk siasa ambazo hazina mtazamo wa makundi au mgawanyiko..
Unapoweka tabaka la Wanawake ni sawa na Muungano wa Tanzania ambapo Zanzibar (Wanawake) iinajulikana kama nchi lakini sii Bara (Wanaume)...na matokeo ya kuwepo mgao kama huu huleta matatizo makubwa kikatiba..Kwa nini wanawake kisiwe chama huru kama vile NGO inayojiendesha yenyewe in support of Chadema!.

Kipengele cha Vijana naweza kukubaliana nacho kwa sababu kinawaunganisha wanawake na wanaume kuwa kitu kimoja na madhumuni ya kuwepo kwake ni dhahiri, lakini hili la Wazee na Wanawake kuwa ndani ya katiba ya chama linanipa shida hasa kutokana na tamaduni zetu!

Mkandara,

Ukiwa na mawazo kama hayo ya kupinga status quo usije ukashangaa ukionyeshwa mlango wa kutokea na kuambiwa ni pandikizi.

Tanzania tunahitaji majadiliano makubwa juu ya hivu vyama vya siasa ambavyo vingi ni kama CCM tu ukiachia majina na rangi katika bendera zao.

Hata muundo wenyewe, kamati kuu, baraza kuu, mkutano mkuu nk. Kwa vyama ambavyo havina pesa za kutosha kuendesha mambo yake, je unahitaji urasimu wote huo?

Nguvu kubwa ya vyama inatakiwa iwe wilayani na sio makao makuu.

Kinachofanyika sasa ni kama ile sura ya Mkapa, juu kavimbiwa, vimiguu vyembamba, matokeo yake vina colapse kama lile jengo lililoanguka juzi. Kinachotakiwa ni kama Pyramid, chini kumejengeka vizuri na hivyo kufanya juu kuwe imara.
 
Mkandara,

Ukiwa na mawazo kama hayo ya kupinga status quo usije ukashangaa ukionyeshwa mlango wa kutokea na kuambiwa ni pandikizi.

Tanzania tunahitaji majadiliano makubwa juu ya hivu vyama vya siasa ambavyo vingi ni kama CCM tu ukiachia majina na rangi katika bendera zao.

Hata muundo wenyewe, kamati kuu, baraza kuu, mkutano mkuu nk. Kwa vyama ambavyo havina pesa za kutosha kuendesha mambo yake, je unahitaji urasimu wote huo?

Nguvu kubwa ya vyama inatakiwa iwe wilayani na sio makao makuu.

Kinachofanyika sasa ni kama ile sura ya Mkapa, juu kavimbiwa, vimiguu vyembamba, matokeo yake vina colapse kama lile jengo lililoanguka juzi. Kinachotakiwa ni kama Pyramid, chini kumejengeka vizuri na hivyo kufanya juu kuwe imara.

Mtanzania

Chukua katiba ya CHADEMA ya mwaka 1993, linganisha na 2004 na hii mpya ya 2006 utaona kwamba muundo wa awali wa CHADEMA ulikuwa unakaribiana na wa CCM, 2003 ikabadilika, 2006 yakafanyika mabadiliko makubwa zaidi. CHADEMA ni chama kinachoendana na wakati. Tatizo ni kuwa kuna watu hawajazoea mabadiliko, unakumbuka mvutano wa CHADEMA mwaka 2006 wakati wa mabadiliko ya katiba ya chama hicho ulikuwa ni kati ya wanachama waliokuwa na mtizamo wa Dr Slaa, Zitto, Mbowe, Mnyika, Kitila wa kupunguza madaraka kwenye mikoa na kupeleka nguvu wilayani na ule wa kina Shilembi wa kubakiza nguvu ya kwenye taifa na mikoa. Ilibidi ifanyike compromise, hivyo utaona katika katiba ya mwaka 2006 nguvu kubwa ya chama iko ngazi ya chini kabisa na wilayani, hata baraza kuu linaundwa zaidi na wawikilishi wa majimbo na wilaya na si wa mikoa au taifa kama ilivyoCCM.

Mkandara:

Kuhusu hao wazee, wanawake na vijana- hizo ni taasisi zinazojitegemea kiasi chini ya katiba ya chama, zina taratibu zake tofauti lakini ili kuepusha kutengeza vyama ndani ya chama au makundi kama ambavyo umeonya kuna uhusiano wa pekee uliowekwa kikatiba na kitaratibu

Asha
 
Bi. Asha Abdala,

Bibie unajua kuna watu kama sisi ambao kila kinachoandikwa hapa hukigeuza na kukitazama upande wa pili kabla hatujachagia kitu...

Sasa tuseme mimi binafsi sikubaliani na baadhi ya nafasi zilizotolewa hapo juu itakuwaje?..mathlan binafsi sioni kabisa sababu ya kuwa na Kambi ya Wazee ama Wanawake kisiasa, unless hilo la viti vya Wazee utaratibu wake umetokana na mila zetu za kiasili ambayo yanawapa wazee nguvu kubwa kuliko mwenyekiti wa chama (mfano ni maamuzi kuhusiana na Mh. Wangwe).

WHY nasema hivi:-
Kujenga tabaka za Wanawake na Wazee ndani ya chama ni moja ya kuongeza kongamano za kisiasa ndani ya chama ambazo zinatazama na kujenga kundi moja la maumbile ama umri ktk siasa ambazo hazina mtazamo wa makundi au mgawanyiko..
Unapoweka tabaka la Wanawake ni sawa na Muungano wa Tanzania ambapo Zanzibar (Wanawake) iinajulikana kama nchi lakini sii Bara (Wanaume)...na matokeo ya kuwepo mgao kama huu huleta matatizo makubwa kikatiba..Kwa nini wanawake kisiwe chama huru kama vile NGO inayojiendesha yenyewe in support of Chadema!.

Kipengele cha Vijana naweza kukubaliana nacho kwa sababu kinawaunganisha wanawake na wanaume kuwa kitu kimoja na madhumuni ya kuwepo kwake ni dhahiri, lakini hili la Wazee na Wanawake kuwa ndani ya katiba ya chama linanipa shida hasa kutokana na tamaduni zetu!

Mkandara

Hebu soma hiki kipande hapa naamini kinatoa majibu ya maswali uliyouliza:http://www.chadema.net/chama/marekebisho2.php

Katiba Mpya sasa ina cover lenye rangi mpya za chama- nyeupe, nyekundu, bluu na nyeusi.

Ingia kwenye hiyo page ukimaliza kusoma hiyo link niliyokupa angalia hapa juu kwenye utangulizi katika hiyo page utapata maelezo ya ziada kuwa CHADEMA ni TUMAINI JIPYA

Asha
 
Hivi Neno AIBU Kwa WanaCCM Lina Maana? Hapakaliki hapa ati Kuna WanaCCM wanadai Kutetea Demokrasia, Wanawasuta Chadema ati wanamkaribisha Lowassa Katiak Mkutano Mkuu Kama Nani?

So trivial! Kama Mnataka Kuzungumzia Demokrasia, Tuzungumze Mambo halisi Kama (1) Kupora Ushindi wa Uraisi na Kupita Kila Mahali Kupora Komputa Kufuta Ushahidi, Huko Ni Kubaka Demokrasia
2) Kumtuma Malaya wa Kisiasa Jecha afute Matokeo ya Urais wa Zanzibar, Kwa Kuwa Tu Maalim Seif alishinda, Huo ulikuwa Ni Uhaini na Kubaka demokrasia
3) Kukamata-Kamata Wajumbe wa Ukawa, Kuleta Mapingamizi ya Kugushi, Kuimport wajumbe Kutoka Visiwani na Uhuni anuai kwenye chaguzi za Mameya Ni Uhuni, Uhalifu Na Kubaka Demokrasia.

I care less kama Lowassa anahudhuria Kikao cha chadema au La Ila Kwa CCM Kufuungua Mdomo na Kuwaelimisha Chadema Kuhusu Kutii Katiba na Demokrasia Inanifanya Nijisikie Kinyaa cha Kunichafua roho, "Somebody get me a bucket"
 
Back
Top Bottom