Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,975
Nimewaza sana ni kwa nini tunakosa vionjo muhimu kwenye Uchaguzi huu nimegundua vyama vyote vinatembea na wanahabari ambao wamewagharimia wenyewe zaidi ya kutegemea maripota waliopo mikoani.
Hii imesababisha kukosa taarifa huru na haki unategemea Buhohela ataonyesha taarifa ya kumuumiza Magufuli au Spensa Lameck amuudhi Lowassa?
Hii imesababisha kukosa taarifa huru na haki unategemea Buhohela ataonyesha taarifa ya kumuumiza Magufuli au Spensa Lameck amuudhi Lowassa?