Samvulachole
JF-Expert Member
- Oct 22, 2006
- 413
- 117
binadamu yyote mwenye akili timamu hawezi kuwa mstari wa mbele kufungua matawi ya CCM John Lusingu kila kukicha aningia humu kuleta propaganda za CCM na huu ni mwaka wa 3 hivi hatumpumzishi nashangaa kaja kuanzisha thread bila kusema ukweli kuwa baba yake mzazi alishamkataza mambo ya kuingia humu JF lakini ndio sikio la kufa halisikii dawaPesa za Malinzi kala mwenzao Juma Pinto hajafungua hiyo TV na Redio za CCM kama livyoahidi...nasikia karudi bongoLusingu inajulikana kweli anapenda slopu na ndio maana yuko kama Chama na Mogela kwa mze kwa mwenzie .....Susan Mzee ambaye ndiye mwenyekitihawa CCM reading wamekaa kifisadi fisadi tuuu