Kuelekea Mfumo wa Utangazaji wa Digital: Maswali na Majibu Muhimu

Weka namba yako basi tuje kuvinunua mkuu.
...ila jina lako linanikumbusha Dr.Mwakyembe
 
Hii ndiyo jf bana asanten sana wakuu kwa elimu yenu.

Yaani hapa ndipo nionapo raha ya kuwa member wa jf hata nikipoteza 5 hrs kuperuz jf sipati hasara.

Nilienda kwenye maonyesho ya nane nane nakutembelea banda la TBC niliuliza maswali kuhusu hii ishu majibu niliyopata duuu aibu.

Mkuu na hii biashara ya cable itakwisha au ???
 
Matangazo ya digita yaweza yakawa SCRAMBLED au UNSCRAMBLED. Yale ambayo ni scrambled lazima uwe na de-scramler ambayo ni hicho kingamuzi. Lakini unaweza uka de-scramble bila ya kuwa kingamuzi ikiwa unaweza uka break scrambling code. Kwa computer programes ambazo zina weza kukupatia keys na ndiyo maana hizo keys wenyewe wanazibadilisha mara kwa mara. Kwa channels ambazo hazikuwa scrambled unaweza kupata mawasiliano digital bure.

It's not that I'm so smart, it's just that I stay with problems longer.
 
Asante kwa elimu kuu mkuu
Swali langu

  • Kwanini hivi ving'amuzi hutumia antena baadhi ya maeneo??
  • huku kwangu nilinunua king'amuzi cha startimes nikafanikiwa kuangalia siku mbili tu baada yapo hakitumiki tena wanasema antena imecheza, je ni fanyenini li kuondoa tatizo hili kwani hakifanyi kazi kwa sasa
 
quote_icon.png
By Polonium210

Mkuu Kama una kin'gamuzi cha Star Times halafu bili yako ya Mwezi ikiisha then huoni channel za Bure huo ni Uhuni na nadhani hapa wahusika TCRA inabidi walitazame hili ( Jamaa wako a bit slow). Kimsingi ukiwa na Kin'gamuzi chochote unapaswa kuona Channel zote za Bure hata kama Bill yajo imeisha.

Hiki changu kimetengezezwa na kampuni inayitwa Xunda Tech ya huko china cheki link hiyo hapo chini kwa specifications. If you have capita unaweza ukaagiza na ikakulipa sana maana nadhani Bongo bado havijaanza kuwa Masokoni

DVB-T MPEG4 HD - China Dvb-T,Dvb Receiver,Dvb in Radio & TV Broadcasting


Asante sana mkuu kwa elimu yako nzuri uliyotupatia. Ila nadhani huyo mkuu hapo juu amekosea kwa sababu Startimes kama salio lako la limeisha bado utaendelea kupata channel zile za bure kama TBC na sivyo kama yeye alivyosema.

Mkubwa Young_Master kama ndiyo hivi kwa king`amuzi chako cha Star time basi inawezekana changu kinamtatizo...kwa king`amuzi changu mimi ambacho nimeshaacha hata na kulipia kwa kuona ni wizi mtupu....salio langu la mwezi likiisha tu...inabakia TBC1 peke yake tena kwa mbinde...No Chanel Ten wala Mlimani TV hii ndiyo hali halisi kwangu mkubwa
 
Asante kwa elimu kuu mkuu
Swali langu

  • Kwanini hivi ving'amuzi hutumia antena baadhi ya maeneo??
  • huku kwangu nilinunua king'amuzi cha startimes nikafanikiwa kuangalia siku mbili tu baada yapo hakitumiki tena wanasema antena imecheza, je ni fanyenini li kuondoa tatizo hili kwani hakifanyi kazi kwa sasa

Mkuu si baadhi ya maeneo ila Technically any Radiocommunications receivers ni lazima zitumie antenna. Kuhusu startimes inabidi uwaone mkuu maana wewe ni mteja wao ila kama ni kucheza kwa Antena si unaweza tu kuizungusha uone ni mwelekeo gani unakupa Signal nzuri

Niite Polo
 
Swali kwa polo. Ninayo sony integrated digital tv cha ajabu sipati hizo channel zisizo za kulipia kupitia mfumo wa digital(napata analogue transmission tu) tatizo nini? Pili naomba jina/specification ya kingangamuzi ulichonunua nairobi .
 
Nashukuru kwa ufafanuzi, ila bado sijaelewa vema, HIVI UKIWA NA UMEFUNGA UNGO KUNA HAJA TENA YA KUTUMIA KINGAMUZI BAADA YA KUINGIA KWENYE MFUMO HUO MPYA?
 
Swali kwa polo. Ninayo sony integrated digital tv cha ajabu sipati hizo channel zisizo za kulipia kupitia mfumo wa digital(napata analogue transmission tu) tatizo nini? Pili naomba jina/specification ya kingangamuzi ulichonunua nairobi .

Mkuu Simplemind kwanza pole sana. Labda ungeweka specs za TV yako tuone kama hujaingizwa mjini. Kuna watu wengi wamefuata na kuniconsult juu ya hilo kwamba wana IDTV lakini kumbe wana HDTV (HD Tv not necessarily kuwa na IDTV).

Lakini vile vile inategemea umenunua wapi. Kuna Rafiki yangu alipata safari ya kwenda Marekani kimasomo aliporudi alikuja na TV ambayo ni IDTV lalikini haikuwa inafanya kazi kwetu kwa sababu Marekani wanatumia Stanard tofauti katika Terestrial Broadcasting yao inaitwa Adanced Television Systems Committee (ATSC)[FONT=verdana, arial, sans-serif] [/FONT]Wakati sisi tunatumia DVB-T

Kama ni IDTV, DVB-T Compliance, ina Card Slot (Ambayo ni Optional) inapswa kuona channel za Bure Kiongozi
 
Nashukuru kwa ufafanuzi, ila bado sijaelewa vema, HIVI UKIWA NA UMEFUNGA UNGO KUNA HAJA TENA YA KUTUMIA KINGAMUZI BAADA YA KUINGIA KWENYE MFUMO HUO MPYA?

Mkuu Labda nipate Maoni yako juu ya
1. Nini Maana ya king'amuzi
2. Je Unamiliki King'amuzi?
3. je Ukisika Mtu anataja King'amuzi unapata picha gani?
4. kama unamiliki king'amuzi ni kwa ajili ya matumizi gani?
 
Mkuu Labda nipate Maoni yako juu ya
1. Nini Maana ya king'amuzi
2. Je Unamiliki King'amuzi?
3. je Ukisika Mtu anataja King'amuzi unapata picha gani?
4. kama unamiliki king'amuzi ni kwa ajili ya matumizi gani?

Je unatumia antenna gani? Ni digital antenna? Kwa yeyote anayehitaji ving'amuzi vya DVB-T vya kutoka Ulaya ani pm. Nina ving'amuzi brand za Nokia, Topfield, Sagem, Phillips, etc. Vile ambavyo vinaweza ku record vinapatikana pia.
 
quote_icon.png
By Polonium210

Mkuu Kama una kin'gamuzi cha Star Times halafu bili yako ya Mwezi ikiisha then huoni channel za Bure huo ni Uhuni na nadhani hapa wahusika TCRA inabidi walitazame hili ( Jamaa wako a bit slow). Kimsingi ukiwa na Kin'gamuzi chochote unapaswa kuona Channel zote za Bure hata kama Bill yajo imeisha.

Hiki changu kimetengezezwa na kampuni inayitwa Xunda Tech ya huko china cheki link hiyo hapo chini kwa specifications. If you have capita unaweza ukaagiza na ikakulipa sana maana nadhani Bongo bado havijaanza kuwa Masokoni

DVB-T MPEG4 HD - China Dvb-T,Dvb Receiver,Dvb in Radio & TV Broadcasting




Mkubwa Young_Master kama ndiyo hivi kwa king`amuzi chako cha Star time basi inawezekana changu kinamtatizo...kwa king`amuzi changu mimi ambacho nimeshaacha hata na kulipia kwa kuona ni wizi mtupu....salio langu la mwezi likiisha tu...inabakia TBC1 peke yake tena kwa mbinde...No Chanel Ten wala Mlimani TV hii ndiyo hali halisi kwangu mkubwa
Ni kweli wanakata chanel zote kasoro tbc!
 
Mkulu Polo

Nafikiri tunahitaji kueleza kwa usahihi tofauti ya Decoder(king'amuzi) na Modem

Suala la TV za Analog kufanya kazi katika mfumo mpya wa digital litawezekana kwa kutumia kifaa cha modem not decoder.

Modem(siyo hizi zinazotumika kupata net) ndiyo inayofanya conversion ya analog to digital and vise versa

I stand to be corrected
 
Mkulu Polo

Nafikiri tunahitaji kueleza kwa usahihi tofauti ya Decoder(king'amuzi) na Modem

Suala la TV za Analog kufanya kazi katika mfumo mpya wa digital litawezekana kwa kutumia kifaa cha modem not decoder.

Modem(siyo hizi zinazotumika kupata net) ndiyo inayofanya conversion ya analog to digital and vise versa

I stand to be corrected
Mmh, hata mimi nisiye mtaalam nahisi kuwa umechemka - ( Encoder mbadala ni Decoder). Modem tena?
 
Mkulu Polo

Nafikiri tunahitaji kueleza kwa usahihi tofauti ya Decoder(king'amuzi) na Modem

Suala la TV za Analog kufanya kazi katika mfumo mpya wa digital litawezekana kwa kutumia kifaa cha modem not decoder.

Modem(siyo hizi zinazotumika kupata net) ndiyo inayofanya conversion ya analog to digital and vise versa

I stand to be corrected

Mkuu ni Decoder kwa Sababu kabla ya Signal kuwa Transmitted zinakuwa Digitally encoded ( hii ina maana kwamba Kwenye Transmitter kunakuwa na Encoder) so in order to view the information inatakiwa kitu cha Ku decode kitu hicho huitwa decoder
 
Mkuu ni Decoder kwa Sababu kabla ya Signal kuwa Transmitted zinakuwa Digitally encoded ( hii ina maana kwamba Kwenye Transmitter kunakuwa na Encoder) so in order to view the information inatakiwa kitu cha Ku decode kitu hicho huitwa decoder

Mkulu

Bahati mbaya sijaeleweka.

Sizungumzii transmittion of signals and there is where suala la Decoder/receiver linapoingia, nazungumzia suala la ni kwa jinsi gani TV zetu za analog(chogo) zitakavyoweza kuwa converted into digital na hivyo kuweza kutumika katika mazingira hayo mapya.

Naomba jiridhishe kwanza katika hili, tofautisha Modem na Decoder
 
Mkulu

Usijibu haraka sana, naomba utafiti hili

modem ni muungano wa herufi za mwanzo toka katika maneno MOdulator na DEModulator. Modulation ni kitendo cha kubadili carieer signal kutokana na sifa fulani ya message signal(i.e frequency, amplitude,phase e.t.c). Na demodulation ni kitendo cha kurudisha message signal kama ilivokuwa hapo awali. Hivyo basi hii inamanisha kwamba modem ina uwezo wa kufanya modulation na demodulation. katika radio communication signal ni lazima iwe modulated katika transimetter na demodulated katika receiver. modulation imegawanyika katika nyanja kuu mbili i.e Digital modulation na Analog modulation. katika digital modulation kuna schemes kama vile FM, AM na PM. wakati katika digital modulation kuna schemes kama PSK, QPSK, MSK, FSK, ASK, GMSK e.t.c. Kwa hiyo basi ili hiyo unayoita analog tv iweze kamata digita transmitted signal ni lazima iwe na demodulator yenye uwezo wa kubadili digitaly modulated signal kwenda katika normal message signal. Ukipima hapo utatambua kwamba modem digital ndo inahitajika na si decoder kama ulivyodai wewe. hope nimeeleweka na unakaribishwa kwa swali lolote lihusulo radio waves propagation.
 
Back
Top Bottom