Kuelekea Mfumo wa Utangazaji wa Digital: Maswali na Majibu Muhimu

Polonium210

Member
Nov 24, 2011
58
39
Mfumo wa Urushaji wa Matangazo ya Television katika Mfumo wa Digitali si Mgeni hapa Tanzania. Matangazo ya Televisheni kwa mfumo wa Digtal yanatofautiana tu katika Namna Matangazo yanamfikia Mteja. Katika Mfumo wowote wa Mawasiliana, Taarifa zaweza kwa kutumia njia kuu tatu.

1. Cable ( Coaxial, Fibre Optics Cable, Copper n.)

2. Satelite ( Taarifa zinamfikia Mtumia kwa njia ya Satelite). Mitambo ya Kurushia Matangazo inakuwa imefungwa katika satelite na Mitambo hiyo huitwa kwa Lugha ya Kitaalam Transponder.

3. Terestrial: Katika Mfumo huu wa kurusha Mtanganazo, Taarifa zinarushwa kwa watumiaji kwa Kutumia Mitambo iliyoko hapa hapa Duniani namaanisha Ardhini.

Kulingana na namna Matangazo yanavyorushwa Technolojia Mbalimbali zimeibuliwa

1. DVB-C : Matangazo ya Digital kwa njia ya Cable

2. DVB-S: Matangazo ya Digitali kwa njia ya Satelite

3. DVB-T: Matangazo ya Digitali kwa Njia ya Mianara iliyoko Ardhini ( Ambako nataka Uzi huu Ujikite hapo)

1. Je Matangazo ya Digital ni Mageni hapa Tanzania?

Hapana, Matangazo ya Televisheni kwa Njia ya Digitali yamekuwepo Tanzania kwa Muda Mrefu. Watanzania wamekuwa wakipata Matangazo ya Televisheni kwa mfumo wa Digital kwa Njia ya Cable ( Cable TV) na Satelite.

2. Je ili kuona Matangazo ya Digitali ni Lazima utumie Ving'amuzi wa Star Times au Ting Peke yake?

Hapana. Matangazo ya Digitali yanakuwa katika Standard iitwayo DVB-T au DVB-T2 ( Digital Video Broadcasting over Terrestrial). Kwa Hiyo Mtu yeyote Mwenye King'amuzi chochote ( Si Lazima Agape au Startimes) ambacho ni DVB-T compliance anapaswa kuona zile channel za Bure kama Channel ten, ITV, TBC1, Agape) Ila ili uweze kuona Channel za Kulipia kama TBC2 au Agape 2 ni Lazima upate ving'amuzi husika.

Nakaribisha Mjadala wenye Siha na Maswali ambayo naamini kuna wana JF wataalamu watayajibu mimi nimeanza na hayo mawili ili kila Mmoja afahamu mfumo huu mpya na aweze kufaidika

Niite Polo
 
Polo nashukuru kwa elimu uliyoitoa swali ni ikiwa mfumu huu utakuwa rasmi sehemu zote kwa wale ambao hatatakuwa na kingamuzi bila shaka hataweza kupata haya masafa ya dital je itamlamzimu kila mtu kuwa na kingamuzi ambacho atapaswa kulipia airtime? Swali langu ni hilo kwanza.
 
Polo nashukuru kwa elimu uliyoitoa swali ni ikiwa mfumu huu utakuwa rasmi sehemu zote kwa wale ambao hatatakuwa na kingamuzi bila shaka hataweza kupata haya masafa ya dital je itamlamzimu kila mtu kuwa na kingamuzi ambacho atapaswa kulipia airtime? Swali langu ni hilo kwanza.

Asante sana kwa swali lako zuri bwana Kurunzi

Kuna vitu viwili ndugu yangu

1. Channel za kulipia: Ambazo hizi ni lazima uwe na king'amuzi kutoka kwa Mrushaji husikia this depends on nani anarusha hiyo channel

2. Chennel za Bure: Hizi huhitaji kulipia hata senti tano kuziona na hulazimiki kuwa na King'amuzi cha Ting (Agape) wala Startimes. Unaweza kununua king'amuzi hata kariakoo provided that ni DVB-T compliance basi ukiunganisha na Ukiscan unapaswa kuona Channel zoooote ziliko hewani ambazo ni za Bure ( Ninaposema za bure namaanisha hazijawa Scrambled)
 
Kumbe vitu tunavitumia kila siku
Asante kwa knowledge hiyo Polo!

Karibu Baba sana Baba Ubaya! Nilienda Kenya nikakuta hii kitu na wao hivi Ving'amuzi vinapatikana tu katika Maduka ya kawaida Nikaamua kununua nikaja nikatest Waoo nalamba Channel zote ambazo hazijafungwa
 
Kwa sasa niko Kenya Napanga dili na Wakenya Fulani tuingize Ving'amuzi hivyo Nchini na naamini zitanilipa sana coz Wabongo wengi bado hawajashtukia every one is busy with Startimes and Ting

My Family is enjoying now na ukiwawekea Upande wa Analogy Watoto wanachukia sana. Ila Ukitaka Uenjoy inabidi uwe na Screen kubwa ya LED Sony Bravia au Samsung LED
 
Asante mkuu kwa kuileta hii kitu na Mimi nimeianzisha huko kwenye jukwaa la Hoja na habari mchanganyiko.

Sijui kama TCRA wanafika humu ndugu yangu polo haka kamfumo ka DVB_T katakuja kutusumbua sana mfumo niuonao mimi ungeliboreshwa na ni mzuri zaidi ni wa DVB_S tena ni mzuri kama tutahama kwenye band ya C_BAND tunayotumia sasa hivi na kwenda kwenye band ya KU_BAND kama ilivyo DSTV na tena mamlaka ya mawasiliano iwabane hawa iliyowapa vibali vya kusambaza digitali kuwa wawe na king'amuzi kimoja chenye option mbili hapohapo ya DVB_T na DVB_S ili nitakaponunua king'amuzi nikiwa jijini Dar nikitumie kwa njia ya DVB_T nikienda mikoani pasipokuwa na network ya DVB_T nitumie network ya DVB_S na tena wote hao wawe wanatumia satelite moja kama walivyo wenzetu wa Nigeria wa makampuni haya MY TV, TRENDTV, na MUVI TV
 
Asante mkuu kwa kuileta hii kitu na Mimi nimeianzisha huko kwenye jukwaa la Hoja na habari mchanganyiko.

Sijui kama TCRA wanafika humu ndugu yangu polo haka kamfumo ka DVB_T katakuja kutusumbua sana mfumo niuonao mimi ungeliboreshwa na ni mzuri zaidi ni wa DVB_S tena ni mzuri kama tutahama kwenye band ya C_BAND tunayotumia sasa hivi na kwenda kwenye band ya KU_BAND kama ilivyo DSTV na tena mamlaka ya mawasiliano iwabane hawa iliyowapa vibali vya kusambaza digitali kuwa wawe na king'amuzi kimoja chenye option mbili hapohapo ya DVB_T na DVB_S ili nitakaponunua king'amuzi nikiwa jijini Dar nikitumie kwa njia ya DVB_T nikienda mikoani pasipokuwa na network ya DVB_T nitumie network ya DVB_S na tena wote hao wawe wanatumia satelite moja kama walivyo wenzetu wa Nigeria wa makampuni haya MY TV, TRENDTV, na MUVI TV

1. Mkuu DVB-T ni Cheap as Compared to DVB-S lajini vile vile I concur with kwamba We should encourage watu kuwa ni Ving'amuzi ambayo ni DVB-T, DVB-S and DVB-C )for cable) mkuu hivi vipo but they are bit expensive.

2. C-Band sasa hivi inasumbua sana sijui hata ni kwa nini

Ila Naona kama TCRA imelala vile maana kama sikosei mwisho wa Kurusha Matangazo ya Analojia ni 2012 na sioni kama sehemu nyingi za Nchi ni Teknolojia imefika. Natumai wahusika wataona mawazo yetu na kuyafanyia kazi
 
Mfumo wa Urushaji wa Matangazo ya Television katika Mfumo wa Digitali si Mgeni hapa Tanzania. Matangazo ya Televisheni kwa mfumo wa Digtal yanatofautiana tu katika Namna Matangazo yanamfikia Mteja. Katika Mfumo wowote wa Mawasiliana, Taarifa zaweza kwa kutumia njia kuu tatu.

1. Cable ( Coaxial, Fibre Optics Cable, Copper n.)

2. Satelite ( Taarifa zinamfikia Mtumia kwa njia ya Satelite). Mitambo ya Kurushia Matangazo inakuwa imefungwa katika satelite na Mitambo hiyo huitwa kwa Lugha ya Kitaalam Transponder.

3. Terestrial: Katika Mfumo huu wa kurusha Mtanganazo, Taarifa zinarushwa kwa watumiaji kwa Kutumia Mitambo iliyoko hapa hapa Duniani namaanisha Ardhini.

Kulingana na namna Matangazo yanavyorushwa Technolojia Mbalimbali zimeibuliwa

1. DVB-C : Matangazo ya Digital kwa njia ya Cable

2. DVB-S: Matangazo ya Digitali kwa njia ya Satelite

3. DVB-T: Matangazo ya Digitali kwa Njia ya Mianara iliyoko Ardhini ( Ambako nataka Uzi huu Ujikite hapo)

1. Je Matangazo ya Digital ni Mageni hapa Tanzania?

Hapana, Matangazo ya Televisheni kwa Njia ya Digitali yamekuwepo Tanzania kwa Muda Mrefu. Watanzania wamekuwa wakipata Matangazo ya Televisheni kwa mfumo wa Digital kwa Njia ya Cable ( Cable TV) na Satelite.

2. Je ili kuona Matangazo ya Digitali ni Lazima utumie Ving'amuzi wa Star Times au Ting Peke yake?

Hapana. Matangazo ya Digitali yanakuwa katika Standard iitwayo DVB-T au DVB-T2 ( Digital Video Broadcasting over Terrestrial). Kwa Hiyo Mtu yeyote Mwenye King'amuzi chochote ( Si Lazima Agape au Startimes) ambacho ni DVB-T compliance anapaswa kuona zile channel za Bure kama Channel ten, ITV, TBC1, Agape) Ila ili uweze kuona Channel za Kulipia kama TBC2 au Agape 2 ni Lazima upate ving'amuzi husika.

Nakaribisha Mjadala wenye Siha na Maswali ambayo naamini kuna wana JF wataalamu watayajibu mimi nimeanza na hayo mawili ili kila Mmoja afahamu mfumo huu mpya na aweze kufaidika

Niite Polo

shukrani mkuu kwa uzi wako nazani hii kitu inachanganya wengi sana kwa upande wa receiver mim sina swali swali langu kubwa linalonikanganya ni kwamba kunawadau wanadai kuwa tukianza kutumia mfumo huo wa digital tv za chogo zitakuwa hazina soko dili hazitatumika tena.
So ni kwanin hazitaweza tumika tena kama sasa hivi watu wanatumia receiver na tv hizo na wanaona kwa nin baadae tv zishindwe kuonyesha??
 
shukrani mkuu kwa uzi wako nazani hii kitu inachanganya wengi sana kwa upande wa receiver mim sina swali swali langu kubwa linalonikanganya ni kwamba kunawadau wanadai kuwa tukianza kutumia mfumo huo wa digital tv za chogo zitakuwa hazina soko dili hazitatumika tena.
So ni kwanin hazitaweza tumika tena kama sasa hivi watu wanatumia receiver na tv hizo na wanaona kwa nin baadae tv zishindwe kuonyesha??

Mkuu Chogo TV are there to stay kwa sababu most of TV set kwenye Market bado ni analogue. Hata zile unazoziona Mlimani City hazina built in digital Modulator (Decoder) Ingawa watu wengi wanakuwa fooled kwamba zile ni idTV (Integrated Digital TV). IDTV zimeshindwa kupenya kwenye Market kwa wingi kwa sababu ni wachache wanaweza kuafford.

So Mkuu If you are having a Chogo TV you will just need a decoder to view your Tigital Broadcasted Television Channels
 
Mkuu polonium kwanza shukrani kwa hili somo, umelileta kwa wakati wake. Mimi nina maswali 2.

1. Umesema ukiwa na king'amuzi chochote unatakiwa kukamata stations zote ambazo si za kulipia, sasa kwa nini hatuzikamati kwa sasa?. Mfano startimes kukamata ITV, Startv n.k.

2. Hii njia ya kutumia king'amuzi mbona inamfanya mteja asiwe huru kutumia features za tv yake katika mapana yake?. Maana yangu ni kuwa ili kuunganisha kwenye tv unatumia av cable hivyo inakuwa kama unaunganisha video vile, kwa njia hii features nyingi zinazopatikana kwenye tv huwezi kupata hii ni pamoja na kuweza kuweka muonekano wa tv kwa jinisi unavyotaka inakuwa haiwezekani. Sasa kwa mtindo huu si wanavunja soko la tv, kuna haja gani tena ya kununua tv yenye vimbwanga vingi wakati features hizo hutaweza zitumia?

Ni haya tu kwa sasa, natanguliza shukrani.
 
Asante Mkuu kwa Lecture. Je ni kweli baada ya mda huo Ungo zitakuwa hazitumiki tena? Na je hizo DVB-T Zitakuwa zinatumika bila ungo? Samahani kwan mie ktk field hiyo ni mweupe kabisa

Mkuu Malaika naomba kwa Heshima na Taadhima njibu swali lako kuhusiana na Ungo nadhani unamaanisha Satelite Dish.

Matangazo ya Digital yanarushwa kwa njia hizo ambazo nimezitaja hapo juu

1. ( Transmitter zilizoko angani zilizofungwa kwenye Satellite, zinaitwa Transponder). Hii wanatumia watu kama Intelsat, Arabsat, Eutelsat n.k hawa jamaa ndio wanarusha haya Matangazo kutoka kwenye satelite hata DSTV, ITV na TV zote zinazorusha matangazo yao kwa njia ya Satelite wanawalipa hawa jamaa wenye Transponder then wanawarushia.
2. Kwa Njia ya Cable almaarufu kama Cable TV
3. Na kupitia Transmiter zilizoko hapa ardhini ( Terestrial based Transmitter). Hii ndiyo tunayoizungumzia yaani badala ya Transmiter kufungwa Angani kwenye Satelite sasa hizo transmiter zinafungwa hapa hapa ardhini na ndiyo maana inaitwa DVB-T yaani Digital Television Broadcasting Via Terestrial Based Transmitters.

Baada ya Muda huu kitachotokea ni kwamba hutaweza kuona Matangazo ya Television yarushwayo Duniani bila ya kuwa na King'amuzi ( Nasisitiza si lazima kiwe cha Star times au Agape). Matumizi ya Ungo yataendelea kama kawaidwa Mfano Kwangu Natumia Ungo kwa ajili ya kupata channel za Kinaija na zingine za Bure hizo zitaendelea kuwepo Kwa Miaka Mingi sana sana sana.

NB. King'amuzi
ni kifaa kinachotumika Kubadilisha Matangazo kutoka katika Mfumo wa Digitali kwenda kwenye Mfumo wa analojia ili yaweze kuonekana na TV ya analojia. Kwa Mtu mwenye TV ambayo ni IDTV hatahitaji king'amuzi maana kinakuwa tayari kimeshajengwa ndani
 
Mkuu polonium kwanza shukrani kwa hili somo, umelileta kwa wakati wake. Mimi nina maswali 2.

1. Umesema ukiwa na king'amuzi chochote unatakiwa kukamata stations zote ambazo si za kulipia, sasa kwa nini hatuzikamati kwa sasa?. Mfano startimes kukamata ITV, Startv n.k.

2. Hii njia ya kutumia king'amuzi mbona inamfanya mteja asiwe huru kutumia features za tv yake katika mapana yake?. Maana yangu ni kuwa ili kuunganisha kwenye tv unatumia av cable hivyo inakuwa kama unaunganisha video vile, kwa njia hii features nyingi zinazopatikana kwenye tv huwezi kupata hii ni pamoja na kuweza kuweka muonekano wa tv kwa jinisi unavyotaka inakuwa haiwezekani. Sasa kwa mtindo huu si wanavunja soko la tv, kuna haja gani tena ya kununua tv yenye vimbwanga vingi wakati features hizo hutaweza zitumia?

Ni haya tu kwa sasa, natanguliza shukrani.


Naomba nijaribu kujibu Maswali yako kadiri ya Uelewa wangu wa Mambo ( I think TCRA wanatakiwa kufanya kazi ya ziada maana kama watu wa Mitandaoni bado wanakanganyikiwa je itakuwaje kwa Bibi yangu kule Maneromango?)

1. Mkuu ni kweli kwamba Unatakiwa kukamata Stesheni zozote ambazo si za kulipia. Mimi nakamata zote mkuu kwa kutumia King'amuzi changu nilichonunua hapo kwa Mzee Kibaki, channel ambazo sizioni na sina Mpango nazo ni TBC2, Agape2, Aljazeera na baadhi lakini zingine zoooooooooote Nakamata mkuu. Unatumia King'amuzi gani?

2. Matumizi ya Digital Television yana Faida kubwa sana kama Tutazoea maana mara nyingi watu ni wagumu sana kukubabali mabadiliko. Ila with Digital TV you can do alot of things, unaweza kulipa bill, unaweza kucheki internet, unaweza kufanya online shopping mkuu Digital is real a new experience and you can't afford to miss it ila Elimu inatakiwa sana la sivyo come Dec 2012 Moto unaweza kuwaka
 
Polonium210

::::...Mkuu asante sana kwa uzi huu.....sasa mkubwa mimi nina King`amuzi cha Star Time...kwa maelezo yako umesema inatupasa kupata Channel zote ambazo ni free...sasa mkubwa kwanini ile bill yangu ya mwezi ikiisha sipati tena kuona Chanel10,...kwa maelezo yako hapo juu ilinipasa kupata hizi...sasa mkubwa swali langu kwako hicho king`amuzi chako ulichonunua kwa baba kibaki ..ni cha aina gani na sisi tutavipata wapi? au mpaka tuende kwa Baba kibaki DVB-T
 
Polonium210

::::...Mkuu asante sana kwa uzi huu.....sasa mkubwa mimi nina King`amuzi cha Star Time...kwa maelezo yako umesema inatupasa kupata Channel zote ambazo ni free...sasa mkubwa kwanini ile bill yangu ya mwezi ikiisha sipati tena kuona Chanel10,...kwa maelezo yako hapo juu ilinipasa kupata hizi...sasa mkubwa swali langu kwako hicho king`amuzi chako ulichonunua kwa baba kibaki ..ni cha aina gani na sisi tutavipata wapi? au mpaka tuende kwa Baba kibaki DVB-T

Mkuu Kama una kin'gamuzi cha Star Times halafu bili yako ya Mwezi ikiisha then huoni channel za Bure huo ni Uhuni na nadhani hapa wahusika TCRA inabidi walitazame hili ( Jamaa wako a bit slow). Kimsingi ukiwa na Kin'gamuzi chochote unapaswa kuona Channel zote za Bure hata kama Bill yajo imeisha.

Hiki changu kimetengezezwa na kampuni inayitwa Xunda Tech ya huko china cheki link hiyo hapo chini kwa specifications. If you have capita unaweza ukaagiza na ikakulipa sana maana nadhani Bongo bado havijaanza kuwa Masokoni

DVB-T MPEG4 HD - China Dvb-T,Dvb Receiver,Dvb in Radio & TV Broadcasting
 
Mkuu Kama una kin'gamuzi cha Star Times halafu bili yako ya Mwezi ikiisha then huoni channel za Bure huo ni Uhuni na nadhani hapa wahusika TCRA inabidi walitazame hili ( Jamaa wako a bit slow). Kimsingi ukiwa na Kin'gamuzi chochote unapaswa kuona Channel zote za Bure hata kama Bill yajo imeisha.

Hiki changu kimetengezezwa na kampuni inayitwa Xunda Tech ya huko china cheki link hiyo hapo chini kwa specifications. If you have capita unaweza ukaagiza na ikakulipa sana maana nadhani Bongo bado havijaanza kuwa Masokoni

DVB-T MPEG4 HD - China Dvb-T,Dvb Receiver,Dvb in Radio & TV Broadcasting

Asante sana mkuu kwa elimu yako nzuri uliyotupatia. Ila nadhani huyo mkuu hapo juu amekosea kwa sababu Startimes kama salio lako la limeisha bado utaendelea kupata channel zile za bure kama TBC na sivyo kama yeye alivyosema.
 
Polo! Channel zipi unapata kwa free ili tuagize na sisi hicho kingamuzi?
 
Mkuu Malaika naomba kwa Heshima na Taadhima njibu swali lako kuhusiana na Ungo nadhani unamaanisha Satelite Dish.

Matangazo ya Digital yanarushwa kwa njia hizo ambazo nimezitaja hapo juu

1. ( Transmitter zilizoko angani zilizofungwa kwenye Satellite, zinaitwa Transponder). Hii wanatumia watu kama Intelsat, Arabsat, Eutelsat n.k hawa jamaa ndio wanarusha haya Matangazo kutoka kwenye satelite hata DSTV, ITV na TV zote zinazorusha matangazo yao kwa njia ya Satelite wanawalipa hawa jamaa wenye Transponder then wanawarushia.
2. Kwa Njia ya Cable almaarufu kama Cable TV
3. Na kupitia Transmiter zilizoko hapa ardhini ( Terestrial based Transmitter). Hii ndiyo tunayoizungumzia yaani badala ya Transmiter kufungwa Angani kwenye Satelite sasa hizo transmiter zinafungwa hapa hapa ardhini na ndiyo maana inaitwa DVB-T yaani Digital Television Broadcasting Via Terestrial Based Transmitters.

Baada ya Muda huu kitachotokea ni kwamba hutaweza kuona Matangazo ya Television yarushwayo Duniani bila ya kuwa na King'amuzi ( Nasisitiza si lazima kiwe cha Star times au Agape). Matumizi ya Ungo yataendelea kama kawaidwa Mfano Kwangu Natumia Ungo kwa ajili ya kupata channel za Kinaija na zingine za Bure hizo zitaendelea kuwepo Kwa Miaka Mingi sana sana sana.

NB. King'amuzi
ni kifaa kinachotumika Kubadilisha Matangazo kutoka katika Mfumo wa Digitali kwenda kwenye Mfumo wa analojia ili yaweze kuonekana na TV ya analojia. Kwa Mtu mwenye TV ambayo ni IDTV hatahitaji king'amuzi maana kinakuwa tayari kimeshajengwa ndani

Aise! Kila mtu anayo field anayoionea! Thanx Polo!
 
Back
Top Bottom