Alfred Daud Pigangoma
JF-Expert Member
- Mar 30, 2009
- 1,826
- 966
Habari wanajamvi.
Zikiwa zimebaki saa 48 ili mahakama ya kazi ambayo ndo inaendesha kesi ya kupinga matokeo ya mbunge wa jimbo la Ubungo Mh. John J. Mnyika dhidi ya walalamikaji wake kutoka CCM wakiongozwa na Bi. H. Ng'umbi. Nini kitarajiwe kuonekana siku hiyo au ndo kama kawa ule walaka wetu kutoka pale katika jumba lililopo ukingoni mwa Bahari ya Hindi?
Ki ukweli kama ukifuatilia kesi hizi ni kama kamchezo ka MIZENGWE ya enzi zile za MAX (Kwa sasa ni marehemu) na ZEMBWELA (Ambaye naye kwa sasa ni mtangazaji wa EATV na EA-Redio). Yetu macho na maskio lolote lipo........
Zikiwa zimebaki saa 48 ili mahakama ya kazi ambayo ndo inaendesha kesi ya kupinga matokeo ya mbunge wa jimbo la Ubungo Mh. John J. Mnyika dhidi ya walalamikaji wake kutoka CCM wakiongozwa na Bi. H. Ng'umbi. Nini kitarajiwe kuonekana siku hiyo au ndo kama kawa ule walaka wetu kutoka pale katika jumba lililopo ukingoni mwa Bahari ya Hindi?
Ki ukweli kama ukifuatilia kesi hizi ni kama kamchezo ka MIZENGWE ya enzi zile za MAX (Kwa sasa ni marehemu) na ZEMBWELA (Ambaye naye kwa sasa ni mtangazaji wa EATV na EA-Redio). Yetu macho na maskio lolote lipo........