Mu-sir
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 3,621
- 1,629
wakuu,
Nilikuwa na hizi information lakini nikawa natafuta uthibitisho kutoka kwa source zangu na nimehakikisha sasa namwaga hapa.
naomba tuanzie na Richmond je, mwajua kwanini maazimio yake hadi sasa hayatekelezeki? Tunafahamu kuwa mtekelezaji mzuri wa maazimio yale ya bunge ni mamlaka ya juu ambayo ni Rais lakini kwa sababu yeye mwenyewe ndiye source na mwenye ile business basi maazimio yale hadi leo ni ngumu kutekelezeka (recall huyu jamaa aliwahi kuwa waziri wa ile wizara kipindi cha mwinyi).
PILI:
Suala la Jairo je, maazimio ya bunge ameyatekeleza kwa kiasi gani? Kumbukeni pia bunge liliwahi kuitaka serikali kuvunja mkataba na TICTS lakini mpaka leo hakuna utekelezaji ni kwa sababu Rais hawajibiki ipasavyo kwa wananchi wake na sababu kubwa ni kuwa yeye mwenye huwa nyuma ya madudu mengine yanayofanywa na viongozi ndio maana alisema Jairo atapangiwa kazi nyingine na mpaka leo anadunda na usafiri wa serikali.
Hayo nilikuwa nataka kuweka base ya hoja yenyewe.
SASA KUELEKEA BARAZA JIPYA:
hizi information ni classified lakini sina jinsi naweka wazi japo mpangilio unaweza kuwa ovyo.
Hapa jamani tatizo sio hawa watendaji wakuu bali ni Mkulu mwenyewe kwa sababu kubwa ambayo ni kwamba yeye anafanya biashara kupitia migongo ya hawa watendaji wake wakuu. Suala la wizara ya miondombinu Nundu yuko right kwa sehemu kubwa lakini mkuu alimtumia Mfutakamba kwa ajili ya manufaa yake ndio maana mlisikia kibali cha kusafiri alikitoa ofisi ya juu na ni State house ndio maana Nundu alisema ule makataba ulikuwa na Interest ya 77% in turn lakini hakueleweka sasa hapa Nundu anaweza kutolewa kafara au naibu akapangiwa kazi nyingine.
Tukija kwa Maige utaona analalamika sana lakini wale wakurugenzi wanafanya madudu na hawachukuliwi hatua yoyote ni kwa sababu wako nyuma ya mgongo wake unafikiri kwanini Kamrani hachukuliwi hatua yoyote? Kiufupi huyu jamaa anfanya biashara na mkulu mwenyewe na an biashara zingine zaidi ya hizo pamoja na KUCHIMBA MADINI NDANI YA HIFADHI ZETU na KUUZA MAGARI YA WIZI KUTOKA NCHI ZA UGHAIBUNI lakini nobody says anything kwa sababu mawasiliano yake anafanya na mkulu ndio maana maofisa wa serikali wanaogopa kwenda kwake.
So, let me end up here today lakini hiyo ndiyo hali halisi kiufupi TUNA RAIS MFANYABIASHARA.
MY TAKE KWENYE BARAZA JIPYA:
Tusitegemee miujiza na wale watakaopigwa chini watapangiwa kazi zingine au hawatachukuliwa hatua zozote zile. Kuhusu watendaji wa wizara wanaweza kutolewa kwenye sehemu zao lakini hatua thabiti hazitachukuliwa kwa sababu kichosumbua nchi hii ni USHAHIDI.
Kumbukeni kuwa washauri wake wameshamshauri sana achukue hatua za kufumua pale palipo na amshaka kuanzia watendaji wabovu hadi mawaziri wao ila tatizo ni je, atamweka nani wa kufanya vile anavyotaka yeye akiwatoa hao waliopo? Ndio maana kumekuwa na kusitasita kutoa maamuzi magumu tunayoota mchana kwamba yatatokea lakini whatever happens itakuwa kiinimacho na mtasikia mengine in few years.
Najua mtauliza source ni my insider wa Ikulu na namwamini.
PIA KUMBUKENI.
kila wizara ambayo waziri na naibu wake wana misunderstanding jueni kuwa mmoja yuko anatekeleza matakwa ya mkulu wa kaya na
mwingine anafuata taratibu kitu ambacho kitawa cost hawa wanaofuata taratibu kuliko wale wanaom-save mkulu.
UPDATES
Wakuu maneno yangu mliya MARK vizuri? compare these words before baraza and what is happening now utakubali kuwa VASCO DA GAMMA wetu ni don't care. More to come as I get confirmation.
Nilikuwa na hizi information lakini nikawa natafuta uthibitisho kutoka kwa source zangu na nimehakikisha sasa namwaga hapa.
naomba tuanzie na Richmond je, mwajua kwanini maazimio yake hadi sasa hayatekelezeki? Tunafahamu kuwa mtekelezaji mzuri wa maazimio yale ya bunge ni mamlaka ya juu ambayo ni Rais lakini kwa sababu yeye mwenyewe ndiye source na mwenye ile business basi maazimio yale hadi leo ni ngumu kutekelezeka (recall huyu jamaa aliwahi kuwa waziri wa ile wizara kipindi cha mwinyi).
PILI:
Suala la Jairo je, maazimio ya bunge ameyatekeleza kwa kiasi gani? Kumbukeni pia bunge liliwahi kuitaka serikali kuvunja mkataba na TICTS lakini mpaka leo hakuna utekelezaji ni kwa sababu Rais hawajibiki ipasavyo kwa wananchi wake na sababu kubwa ni kuwa yeye mwenye huwa nyuma ya madudu mengine yanayofanywa na viongozi ndio maana alisema Jairo atapangiwa kazi nyingine na mpaka leo anadunda na usafiri wa serikali.
Hayo nilikuwa nataka kuweka base ya hoja yenyewe.
SASA KUELEKEA BARAZA JIPYA:
hizi information ni classified lakini sina jinsi naweka wazi japo mpangilio unaweza kuwa ovyo.
Hapa jamani tatizo sio hawa watendaji wakuu bali ni Mkulu mwenyewe kwa sababu kubwa ambayo ni kwamba yeye anafanya biashara kupitia migongo ya hawa watendaji wake wakuu. Suala la wizara ya miondombinu Nundu yuko right kwa sehemu kubwa lakini mkuu alimtumia Mfutakamba kwa ajili ya manufaa yake ndio maana mlisikia kibali cha kusafiri alikitoa ofisi ya juu na ni State house ndio maana Nundu alisema ule makataba ulikuwa na Interest ya 77% in turn lakini hakueleweka sasa hapa Nundu anaweza kutolewa kafara au naibu akapangiwa kazi nyingine.
Tukija kwa Maige utaona analalamika sana lakini wale wakurugenzi wanafanya madudu na hawachukuliwi hatua yoyote ni kwa sababu wako nyuma ya mgongo wake unafikiri kwanini Kamrani hachukuliwi hatua yoyote? Kiufupi huyu jamaa anfanya biashara na mkulu mwenyewe na an biashara zingine zaidi ya hizo pamoja na KUCHIMBA MADINI NDANI YA HIFADHI ZETU na KUUZA MAGARI YA WIZI KUTOKA NCHI ZA UGHAIBUNI lakini nobody says anything kwa sababu mawasiliano yake anafanya na mkulu ndio maana maofisa wa serikali wanaogopa kwenda kwake.
So, let me end up here today lakini hiyo ndiyo hali halisi kiufupi TUNA RAIS MFANYABIASHARA.
MY TAKE KWENYE BARAZA JIPYA:
Tusitegemee miujiza na wale watakaopigwa chini watapangiwa kazi zingine au hawatachukuliwa hatua zozote zile. Kuhusu watendaji wa wizara wanaweza kutolewa kwenye sehemu zao lakini hatua thabiti hazitachukuliwa kwa sababu kichosumbua nchi hii ni USHAHIDI.
Kumbukeni kuwa washauri wake wameshamshauri sana achukue hatua za kufumua pale palipo na amshaka kuanzia watendaji wabovu hadi mawaziri wao ila tatizo ni je, atamweka nani wa kufanya vile anavyotaka yeye akiwatoa hao waliopo? Ndio maana kumekuwa na kusitasita kutoa maamuzi magumu tunayoota mchana kwamba yatatokea lakini whatever happens itakuwa kiinimacho na mtasikia mengine in few years.
Najua mtauliza source ni my insider wa Ikulu na namwamini.
PIA KUMBUKENI.
kila wizara ambayo waziri na naibu wake wana misunderstanding jueni kuwa mmoja yuko anatekeleza matakwa ya mkulu wa kaya na
mwingine anafuata taratibu kitu ambacho kitawa cost hawa wanaofuata taratibu kuliko wale wanaom-save mkulu.
UPDATES
Wakuu maneno yangu mliya MARK vizuri? compare these words before baraza and what is happening now utakubali kuwa VASCO DA GAMMA wetu ni don't care. More to come as I get confirmation.