Mchambuzi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2007
- 4,850
- 9,405
Prof Mwandosya angekua na afya yake ya kawaida ndiyo rais wanaCCM wazalendo tungemtaka 2015 kuja kuweka nchi kwenye mstari tena.
Hapo umeongea. Mungu atasikia vilio vyetu na atamjalia tu.
Prof Mwandosya angekua na afya yake ya kawaida ndiyo rais wanaCCM wazalendo tungemtaka 2015 kuja kuweka nchi kwenye mstari tena.
Hakuna cha Mwandyosa wala cha nani 2015 itakuwa kipigo tu. Labda ccm wawa format upya wananchi ili wasahau zile ahadi 99 za trillion 9.
mchambuzi umeshtukia Dr Magufuli anakua kwenye siasa sana ziku hizi..hizi ziara ziara za kichama huku na kule nakua na wasi wasi nae (kuhusu kugombea 2015 na vile vile uwezekano wa kua mwanasiasa kama wenzake badala ya mtendaji na technocrat)
Prof Mwandosya angekua na afya yake ya kawaida ndiyo rais wanaCCM wazalendo tungemtaka 2015 kuja kuweka nchi kwenye mstari tena.
CCM haiwezi kupoteza uchaguzi ngazi ya urais (ceteris paribus), itapoteza tu majimbo mengi tena sana, lakini urais lazima tutapitia experience ile ile ya CUF zanzibar na hatimaye serikali ya umoja wa kitaifa, lakini hii ni iwapo tu chadema watakuwa consistent kwa miaka 10-15 ijayo. Kumbuka - kwa CCM ushindi ni ushindi - hata matokeo yakiwa CCM 50.1% versus Chadema 49.9%, huo ni ushindi. Vinginevyo mabadiliko yafanyike mapema juu ya hii kanuni.
Itapoteza,na hautaamini! 'Mark my word bro'
Lipo kundi jipya linalojiita lenye ushawishi mkubwa ndani ya CCM linalo jipanga kwa kinyang'anyiro cha 2015.
Sidhani kuwa kuna atakayepenya kwenye NEC na mkutano mkuu wao kati ya hao. CCM ina wenyewe.
"Mwandosya (Afya yake bado sio nzuri)."
Afya ya Kigoda ni mgogoro kuliko ya Mwandosya.
Mbona unachanganya mada? Jibu hoja za wachaangiaji katika thread yako. Mbona unahama haraka.... Endelea na KigwangallaKwa faida ya mjadala huu naomba kumnukuu muandishi nguli na mhariri mahiri wa The Guardian kaka Richard Mghamba.
Kwenye mjadala husika nae amesema
"HK na wengine,
Chadema kwa sasa in a makundi ya hatari kuliko hata ya CCM tena ambayo yanajengwa kwa misingi ya ukanda na hata ukabila. Kila anayetaka kugombea nafasi ya juu katika chama, utasikia mizengwe ya hatari inaibuliwa wakati nilitaraji chama kama Chadema-kiruhusu demokrasia itawale na yule anayekubalika-anaibuka mshindi.....