Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
- Thread starter
- #101
MMM sidhani kama kujadili changamoto za CDM kwa uwazi ni tatizo bali tatizo linakuja pale mtu anapotaka mikakati ya CDM ya kutawala kama wakikamata dola mwaka 2015 waanze kuiweka wazi ili kuifaidisha CCM.
mikakati ya kutawala siyo siri vile vile kwani wanaowatala ni Watanzania na wanahitaji kujua watatawaliwaje. Ni katika kujua ndio wanaweza kuweka uamuzi sahihi wa nani aje kuwatawala. Hadi hivi sasa kitu kinachoweza kuwa siri ni mikakati mbalimbali ya kushinda au kuendesha chama lakini siyo ya kutawala wananchi.