Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
- Thread starter
- #81
Kwasababu ndiyo maana niliamini kuwa kupigania katiba mpya ndilo jambo la kwanza na la msingi kabisa.Inavyoonekana,ni kama vile tuko chini ya utawala wa chama kimoja.
Unaamini mchakato ulioanzishwa na CCM, kusimamiwa na wana CCM, ukihakikisha kuwa wajumbe wengi wa baraza la kutunga Katiba ni wana CCM litakuja na kitu kizuri ambacho kitatoa nafasi sawa kwa upinzani kushinda uchaguzi mkuu?