Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #61
Sina shida na heading,no contents,ningeomba ujibu nilichouliza.Kama ni changamoto mbona wanazo nyingi tu?Hakuna chama cha kisiasa chenye kujitambua na chenye wanachama na ambacho bado kinakuwa na kisiwe na changamoto.
Swali langu la msingi umeliona,ungelijibu badala ya kung'ang'ania kwamba sijaelewa maana ya changamoto.
Mbali na ukweli kuwa kuna maelfu ambao hawajakikubali kama ulivyoainisha,pia kuna changamoto kwamba maelfu walioko vijijini bado hawajafikiwa na chama hicho.
swali lako lina dalili ya kutokuelewa nilichosema; nikijaribu kulijibu itabidi nianze kukuelewesha kwanza.