Elections 2015 Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...


With just 7 days to come, hakuna kipya cha kuwaambia wanabodi, bali ni kukumbushana tuu, tulisema nini, nini kimefanyika, nini kinafanyika sasa, na nini kitafanyika hizo siku 7 zijazo, yaani tarehe 25 October, kiukweli kabisa, sioni jinsi yoyote ya CCM kushinda tena!, Chadema inakwenda kuchukua nchi kiulaini kabisa kama imeokota!, yaani CCM inakwenda kuanguka chini kiulani kabisa kama kumsukuma mlevi!.

Lakini ili hili litimie, ni lazima kila aliyejiandikisha, ajitokeze hiyo tarehe 25, aende kupiga kura na kumchagua Edward Lowassa!.

If "Together wa can!", and "United we Stand", "Victory is ascertain!"

Nawatakia Jumapili njema!.

Pasco
Lowassa alianza kuungwa mkono na makundi makubwa ya kijamii, kisha makundi makubwa ya wanaCCM na sasa hadi UKAWA wanamuunga mkono.
Jua liwake, mvua inyeshe 25/Oktoba ni lazima Lowassa atashinda vizuri kabisa.
 
With just two days to go, there is nothing new to say, yote yameishasemwa, sasa imebaki kukumbushana tuu, tulisema nini, nini kimefanyika, uchaguzi ndio keshokutwa Jumapili, nini kitafanyika siku hiyo, na baada ya hapo, tukutane tena wiki ijayo, au tupongezane, au tupeane pole!.

Nchi hii inaweza tuu kubadilishwa kwa watu wenye uthubutu wa kuchukua maamuzi magumu, na kusimama wahesabiwe!.

I'm very proud kuwa ni mmoja wa wapiga kura hiyo Jumapili.

Haya shime kwa wote waliojiandikisha, tujitokeze kwa wingi, tuitumie haki yetu ya kidemokrasia kujichagulia viongozi wetu,

We have to choose our leaders and love our choices and live with or without!.

Pasco
 
Aisee huu uzi ndo nnausoma leo, najuta kwanini nilichelewa kujiunga jamii forum. Pascal unaona mbali sana na kwa potential uliyonayo ilibidi at least uwe mtu fulan ndani ya gvt yetu.
 
Ule uchaguzi wa 2015, Chadema had a chance, tukaishauri not to miss the target. They missed.
Sasa tunaelekea 2020, sasa sio tena Chadema inaweza kumiss the target, sasa hata kulenga tuu sioni dalili.

Huu ndio ukweli wenyewe. Hebu tuchangie bila povu wajameni.


Mkuu Magonjwa Mtambuka, asante sana kwa hii kitu. Huyu ni mmoja wa ma Prof wa ukweli ninao waaminia, hivyo naunga mkono hoja ya Prof. Safari.

Tulisema humu akina sisi,

Kuna kitu hapa kilisemwa na Masha

Kikapuuzwa, sasa leo kusema Prof. Safari, haya sasa manazi wa Chadema, njooni mumponde kama kawaida yenu.

Mkiambiwa
Mnakasirika

P.
 
Wanabodi,

Katika thread moja humu jukwaani, nimekutana na mchango wa mwana jf huyu



Kutokana na kauli hiyo, nimekuwa inspired kuandika kidogo kuhusu adui mkuu wa Tanzania wengi wakidhani ni CCM, kumbe sio, bali adui mkuu wa Watanzania ni huyu nimtajae hapa chini na headline imejielekeza kwa Chadema, simply because ndicho chama pekee cha upinzani huku bara, chenye kuonyesha mwelekeo wa matumaini ya uwezekano wa kulipatia taifa letu la Tanzania, ule ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania!.

Mkuu Jogi, japo umeniomba "Nikubaalie japo mara hii tu kuwa, tatizo linalotumaliza ni zimwi CCM". Samahani sana, sikukubalii, kwa maoni yangu, japo ni kweli CCM ni zimwi, adui sio zimwi, bali wale wanaolifuga hili zimwi na kulipa chakula ili liendelee kuishi!.

1. Tatizo kubwa la Watanzania au adui mkubwa wa Tanzania sio CCM, CCM is just the vehicle, haikujiweka hapo ilipo, imewekwa, hivyo tatizo sio CCM iliyowekwa, bali tatizo ni wale walioiweka CCM hapo ilipo!. That simply means, tatizo ni sisi Watanzania tulioiweka CCM madarakani and it plays games on us again and again na sisi tukiendelea kuiweka madarakani again and again and again na sitashangaa kama hata 2015, tukairudisha tena CCM ikulu ya Magogoni!.

2. Hii dhana ya kudhania adui mkubwa wa Tanzania ni CCM, is a wrong concept, na hili ndilo kosa kubwa la wapinzani, wakiwemo Chadema, katika chaguzi zote za nyuma wapinzani wanaelekeza nguvu nyingi concentration kubwa ya mashambulizi yote kwa CCM wakibeza tuu CCM haikufanya hiki au kile, huku wakijihesabu CCM ndie adui yao mkubwa, hivyo ku miss the real target ya adui halisi ni nani!. Adui sio CCM, adui ni watu wanaoiweka CCM hapo ilipo.

5. CUF baada ya kujaribu mara 3 ikashindwa, ikaamua kutumia principle ya "if you can't beat them, join them", kwa mara ya 4 katika uchaguzi wa 2010, ikakubali yaishe, ikawajoin ndani ya SUK katika ndoa ya kukubali kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM, at the same time, its fighting from within, and it is expected to be hitting them very hard from within, kwa mtindo wa "kikulacho" na kikundi cha "uamsho" ni matokeo chanya ya kipigo hicho kwa serikali ya SUK from within, hivyo kwa 2015 upande wa Zanzibar CUF ni njia nyeupe!.

6. Kwa sasa, angalau Chadema, kupitia M4C, imeshagundua adui halisi anayewakosesha ushindi, na sasa imejielekeza kwa wananchi ambao ndio wenye maamuzi ya mwisho na wamekuwa wakiichagua CCM kwa mazoea tuu, hivyo concentration ikiwekwa kwenye "changing the mindset ya wenye maamuzi, kuacha kuchagua kwa mazoea tuu, bali kuchagua kwa sababu. Wananchi, watafunguka macho, na hawatakuwa na sababu tena ya kuendelea kuichagua CCM!.

7. Ili hili liwezekane, wapinzani wasiwe ni watu wa kulalamika na kulaumu tuu kuhusu CCM, bali sasa wajikite kueleza where CCM does wrong, lakini wao wakiingia, watafanya nini tofauti na CCM, na kitabadilisha nini, ili wale wanaoichagua CCM kwa mazoea tuu, wapate sababu za msingi za kutoichagua CCM na kuwachagua wapinzani.

8. Mara baada ya uchaguzi wa 2010 na mafanikio makubwa upande wa Chadema, kwenye ile mada yangu ya "CCM Imechokwa, Chadema Haijajipanga", niliwaeleza kuwa wapinzani bado wako kiuana harakati zaidi, bado hawajipanga mkao wa kushika dola, lakini kwa kwa sasa kupitia M4C, Chadema wanaonyesha dalili za kujipanga japo bado wanakabiliwa na madhaifu haya na yale, yakiwemo, lile koti la ukanda, udini, ukabila na ubinafsi wa "umimi" etc.

9. Kwa leo naomba nisiingie tena kwenye udini, ukanda na ukabila wa Chadema, bali naomba nijikite kwenye ubinafsi au "umimi" kwa Chadema kujiamini kupita kiasi kuwa peke yao wataweza!, nilisema peke yao hawawezi, na leo nasema te na na tena, "Chadema peke yenu hamuwezi Kuiondoa CCM Madarakani" kwa sababu hili CCM ni dubwana kubwa sana ambalo haliwezi kung'oka bila umoja ambao ni nguvu ya Watanzania wote wenye kuliutakia mema taifa hili.

10. Kabla ya kauli ya majuzi ya Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Pinda kule bungeni, nilikuwa najua ma RC na ma DC ni watendaji wakuu wa serikali mikoani na wilayani baada ya kutenganisha zile kofia mbili za chama kushika hatamu za kuiongoza serikali, kumbe wamevua tuu hizo kofia na kutovaa sare, lakini kiutendaji kumbe wako pale kuhakikisha CCM inatawala milele!, hivyo bila joint foces, hakuna jinsi ya kuipumzisha CCM na ni kweli itatawala milele!.

11. Chadema na wapinzani wengine wote wa ukweli, ni lazima wa join forces kutafuta the common working grounds na wenzenu wengine wote mu work together towards a common enemy hata na nyinyi wenyewe kwa wenyewe lazima mkubali kushirikiana kwa kukubali kutokubaliana kwa hayo madogo madogo lakini lazima mkubaliane kwenye kubwa la msingi kwa kukubali "umoja ni nguvu" vinginevyo matokeo ya 2015 yatakuwa ni yale yale ya, vyama vile vile, na watu wale wale!.

12. Mfano, japo CUF ni mke wa CCM kwa upande wa Zanzibar, hiyo ni "marriage of convinience", hivyo inavunjika wakati wowote "conveniences" zikimalizika, hivyo Chadema inacho kibarua kigumu cha kum..ngoza huyu mke wa mtu kwa kumhakikishia akikubali kutoka nje ya ndoa, yeye sasa hatakuwa mke tena, bali atageuka mume na 2015 ni yeye sasa ndie atageuka kidume na kumuoa huyo mume aliyenae sasa kwa sababu mume huyo ategeuzwa mke!.

13. Hakuna ubishi kuhusu nguvu ya CUF kule Zanzibar na Chadema itake isitake, ipende isipende, ili kujihakikishia njia nyeupe ya kuwa mpangaji wa magogoni kwa 2015, ni lazima ikubali kuisupport ya CUF kwa upande Zanzibar ili CUF nao wakubali kuisupport Chadema huku bara!. Chadema wakae chini na CUF, waainishe maeneo ya strong holds za kila mmoja na kuachiana maeneo hayo ili 2015, kuepuka kumfaidisha kunguru kwa vita vya panzi!.

14. Voting statistics


Tanzania: 2010 Presidential election results
Updated January 2010

The United Republic of Tanzania elections for parliament and the presidency were held on 31 October 2010.


Voting statistics
Registered Voters 20 137 303
Total votes 8 626 283
% Turnout 42.84
Valid votes 8 398 394
Spoilt votes 227 889
% Spoilt votes 2.64

Table source
Commonwealth 2010, 31.

Results
Candidate Party Votes % Vote
Jakaya Kikwete Chama Cha Mapinduzi (CCM) 5 276 827 62.83
WP Slaa Chama Cha Demokiasia na Maendeleo (CHADEMA) 2 271 941 27.05
Ibrahim Lipumba Civic United Front (CUF) 695 667 8.28
Peter Mziray Kuga Progressive Party of Tanzania (PPT-MAENDELEO) 96 933 1.15
Rungwe Hashim Spunda National Convention for Construction and Reform (NCCR-Mageuzi) 26 388 0.31
Muttamwega Bhatt Mgaywa Tanzania Labour Party (TLP) 17 462 0.21
Yahmi Nassoro Dovutwa United People's Democratic Party (UPDP) 13 176 0.16
Total
8 398 394 99.99

Table source
Commonwealth 2010, 31.

References
COMMONWEALTH 2010 Report of the Commonwealth Observer Group: Tanzania General Elections 31 October 2010.

15. Kwa mujibu wa data hizo, JK amechaguliwa kura milioni 5 tuu kati ya watu milioni 40!. Waliojiandikisha ni milioni 20, lakini waliopiga kura ni milioni 8 tuu!, hii inamaanisha kuna watu milioni 12, ambao walijiandikisha lakini hawakupiga kura kwa sababu mbalimbali, ikiwemo wale waliokata tamaa na kuona kupiga kura ni wastage of time, hata upige vipi kura, matokeo ni yale yale lazima CCM ishinde, hivyo kuliko kupoteza muda wakaachana kabisa na kupiga kura!

16. Suppose 2015, Watanzania tutakuwa Milioni 50 wenye sifa za kupiga kura ni milioni 35, hawa wote wakihamasishwa kujiandikisha na kujitokeza kupiga kura, mgombea wa CCM atajipatia kura zao zile milioni 6 za wanachama wao kwa mujibu wa tovuti ya CCM, halafu hizo kura milioni 29 zimuangukie mgombea wa upinzani, hata NEC ya CCM, wachakachue vipi, there will be no way out!, hivyo adui yetu mkubwa sio CCM, bali ni Watanzania wanaipigia kura CCM!.

17. Sasa ili kuwafikia Watanzania wote na kuwaamsha waliolala, Chadema haiwezi kuwafikia Watanzania wote kwa kutegemea mikutano ya hadhara na mass media za wengine. Chadema lazima wawe na mass media yake ambayo ita propagate the message of changing the mindset ya Watanzania. Chadema wana all the resource kumiliki media yake lakini very unfortunately they are myopic, hawana vision ya kuona mbali kuangalia nje ya box and see a bigger picture. Hawajui kupanga priorities zao. Bei ya gari moja tuu la M4C linatosha kununua transmitter ya Digital ya redio na TV. Chadema bila media yake, ni kutwanga maji kwenye kinu, CCM ina media yake na TV yake TBCCM, radio zake na magazeti yake, Chadema bila media yake, ikulu wataendelea kuisikia tuu kwenye bomba, 2015 ni CCM tena! .

Wasalaam.

Paskali


NB. Paskali, sio mwanachama, mfuasi wala mshabiki wa chama chochote cha siasa, bali ni Mtanzania wa kawaida mwenye kuweka mbele maslahi ya taifa.

Nzuri,

kitu kimoja tu mimi naamini CUF haijawahi kushidwa uchaguzi wa Raisi kwa miaka 15 sasa. Katika historia ya nchi hii wajukuu zetu watakuja kuandika kitabu kwa hili maana ndiyo ukweli.
 
Nzuri,
kitu kimoja tu mimi naamini CUF haijawahi kushidwa uchaguzi wa Raisi kwa miaka 15 sasa. Katika historia ya nchi hii wajukuu zetu watakuja kuandika kitabu kwa hili maana ndiyo ukweli.
Mkuu Kamundu, wewe endelea kuamini hicho unacho amini, lakini kwa mujibu wa sheria yetu ya uchaguzi, mshindi ni yule anayetangazwa na Tume ya Uchaguzi kuwa ameshinda regardless kura zimepigwaje, determinant ya mshindi kwenye chaguzi za Kiafrika, sisi Tanzania tukiwemo, sio mpiga kura anayepiga kura, bali determinant ni anayehesabu kura, na kumtangaza mshindi.

P
 
Mkuu Kamundu, wewe endelea kuamini hicho unacho amini, lakini kwa mujibu wa sheria yetu ya uchaguzi, mshindi ni yule anayetangazwa na Tume ya Uchaguzi kuwa ameshinda regardless kura zimepigwaje, determinant ya mshindi kwenye chaguzi za Kiafrika, sisi Tanzania tukiwemo, sio mpiga kura anayepiga kura, bali determinant ni anayehesabu kura, na kumtangaza mshindi.

P

Watanzania wengi tuko kwenye bubble 😂 kitu kimoja kinachonisikitisha ni ukweli kwamba mimi nipo nje ya Tanzania lakini nina uhuru wa kusema na kufanya yaliyo kwenye nafsi yangu kuliko hata mtu aliye Tanzania. Yaani moyo uko free. Kuna ndugu zangu Watanzania wana miaka mpaka 70 lakini wanaogopa kusema ya moyoni na wanasifia kwa woga😴
 
Watanzania wengi tuko kwenye bubble 😂 kitu kimoja kinachonisikitisha ni ukweli kwamba mimi nipo nje ya Tanzania lakini nina uhuru wa kusema na kufanya yaliyo kwenye nafsi yangu kuliko hata mtu aliye Tanzania. Yaani moyo uko free. Kuna ndugu zangu Watanzania wana miaka mpaka 70 lakini wanaogopa kusema ya moyoni na wanasifia kwa woga😴
The law of the jungle applies, survival is for the fittest, to be fit, one has to be adaptive to the changing environments, otherwise you'll perish.

P
 
Ule uchaguzi wa 2015, Chadema had a chance, tukaishauri not to miss the target. They missed.
Sasa tunaelekea 2020, sasa sio tena Chadema inaweza kumiss the target, sasa hata kulenga tuu sioni dalili.


Mkuu Magonjwa Mtambuka, asante sana kwa hii kitu. Huyu ni mmoja wa ma Prof wa ukweli ninao waaminia, hivyo naunga mkono hoja ya Prof. Safari.

Tulisema humu akina sisi,

Kuna kitu hapa kilisemwa na Masha

Kikapuuzwa, sasa leo kusema Prof. Safari, haya sasa manazi wa Chadema, njooni mumponde kama kawaida yenu.

Mkiambiwa
Mnakasirika

P.
Huna lolote la maana uliloandika .. Kama kweli mnajiamin ruhusun mikutano na fair grounds kwa vyama vya siasa tuone mkishindana kwa haki ..


Sio hivi mnavyojitapa na kujifanya malaika kwa kutabiri ujinga ambao hata mtoto mchanga angeweza kuandika ...
 
Huna lolote la maana uliloandika ..

Sio hivi mnavyojitapa na kujifanya malaika kwa kutabiri ujinga ambao hata mtoto mchanga angeweza kuandika ...
Next time ukikutana na bandiko ambalo halina lolote, unajipitia tuu, lakini ukichangia, hata kama utachangia utumbo, ni mchango.

Nakushukuru pia kunielimisha, kumbe hiki nilichoandika hata mtoto mchanga angeweza kuandika... good to know, learn.
P
 
Next time ukikutana na bandiko ambalo halina lolote, unajipitia tuu, lakini ukichangia, hata kama utachangia utumbo, ni mchango.

Nakushukuru pia kunielimisha, kumbe hiki nilichoandika hata mtoto mchanga angeweza kuandika... good to know, learn.
P
Umejibu mipasho tu. Kalale huko.
 
P
U thinked very fAr broo, ingalitokea ile chadema ya m4c wakafanyia Kazi Walao theruth tu nw tungekuwa tunazungumza mengine


Isivyo bahati Pasco na Pascal ni watu 2 tofaut kabisa, bt ulifanye sehem yako Pasco
 
Ukweli ni kwamba naamini kwa dhati kuwa adui mkubwa wa taifa hili ni CCM na siku Watanzania watakapolitambua hili kwa ujumla wao watakuwa wamekata minyororo ya utumwa kwa hili zimwi.

Hata hivyo ukweli mchungu ni kwamba hatma ya wana Chadema iko mikononi mwa hilo zimwi, CCM. Wanaweza wakawaua wana Chadema, wanaweza wakawateka, kuwatesa na hata kuwamiminia risasi, wanaweza wakawafunga gerezani, wanaweza wakawanunua kwa nguvu wana Chadema, naam yote hayo wanaweza.
[/QUOTE]
Mkuu Mag3, hili la kuamini adui mkubwa wa taifa hili ni CCM, it is a school of thought, na huu ndio mtazamo wa Chadema, mimi naamini otherwise na mawazo yangu niliyatoa kwenye bandiko hili,
https://www.jamiiforums.com/threads/chadema-mjitafakari-msiwabeze-wahamaji-wana-hoja-za-msingi-adui-wenu-mkuu-sio-ccm-lazima-mbadilike.1356810/

[QUOTE="Pascal Mayalla, post: 24550004, member: 17813"]
Wanabodi,
Siku zote Chadema wanaendesha siasa kwa dhana potofu, wanadhani adui yao mkuu anaowafanya kushindwa kwenda Ikulu ni CCM, kiukweli adui mkuu wa Chadema sio CCM, nitawatajia adui mkuu wa Chadema, na mwisho nitawapa ushauri Chadema wafanye nini, waweze kuingia Ikulu 2025 wakati Magufuli atakapomaliza muda wake, tena only if, kama rais Magufuli atamaliza kweli hiyo 2025!, kwa sababu kwa uchaguzi wa 2020, kwa saa hizi tayari ni too little too late, rais Magufuli ni just too powerful to loose, kiasi kwamba hakutakuwa na uchaguzi wa rais 2020, uchaguzi wa rais wa 2020 kwa mawazo yangu nauhesabu utakuwa ni igizo tuu la uchaguzi, kwa sababu mshindi tayari ameishajulikana ni Dr. John Pombe Joseph Magufuli wa CCM, hivyo wote watakaompinga rais Magufuli 2020, itakuwa ni kujifurahisha tuu, hivyo Chadema watake wasitake, ni lazima wabadilike, vinginevyo, 2020 its the end of the road kwa Chadema, tunarudi kwenye nchi ya chama kimoja.

A Way Forward, Chadema Ifanye Nini.
[LIST=1]
[*]Kwanza Chadema ijitathmini, is it on the right track?, itambue makosa yake, ikubali makosa, ijirekebishe, isonge mbele.
[*]Ianzishe grassroots recruitment ya wanachama wake waaminifu, isije kujikuta imewakumbatia ma nyoka wa CCM kuanzia nje hadi ndani ya CC yake, kama ilivyotokea kwa Mwenyekiti wa Bavicha.
[*]Ianzishe headhunting na spotting leadership talents na able people toka kwenye jamii kujiunga Chadema na kujenga kada ya viongozi wake wa kesho, born and breed in Chadema, kwa kuwafanyia grooming, ili kupata wagombea wake wa nafasi mbalimbali za uongozi.
[*]Ipunguze kushobokea makapi kutoka CCM, wana CCM wanaojitoa CCM na kujiunga Chadema, wawe wanachama wa kawaida tuu kama wanachadema wengine na sio kupapatikiwa na kupewa uongozi moja kwa moja.
[*]Chadema I invest on people na mass mobilization strategies, na sio ku invest on vitu na mikutano tuu ya hadhara, kupitia social media na kumiliki media yake yenyewe, kutawafikia watu wengi zaidi kuliko kutegemea mikutano ya hadhara na maandamano pekee.
[*]Chadema kionyeshe ukomavu na kuwa ni chama mbadala kwa kuachana na cheap politics ya siasa za matukio, na badala yake kujikita kwenye real politics za kushindanisha sera, sio kwa kupinga kila kitu, CCM ikifanya mazuri, mfano elimu bure, Chadema ikubali hili ni zuri, lakini ionyeshe ingekuwa Chadema ingefanya bora zaidi kwa elimu bure kuanzia chekechea hadi chuo kikuu, kwa kuonyesha how CCM inatapanya fedha na resources za nchi kwa ufisadi na kwa mambo yasiyo na maana, halafu inanyanyasa Watanzania masikini kwa kuwanyima mikopo.
[/LIST]
Paskali
[/QUOTE]
Karibu kwenye nondo za bandiko hili
[QUOTE="Pascal Mayalla, post: 4463713, member: 17813"]
[COLOR=rgb(34, 34, 34)][SIZE=4]Wanabodi,

nimekuwa inspired kuandika kidogo kuhusu adui mkuu wa Tanzania wengi wakidhani ni CCM, kumbe sio, bali adui mkuu wa Watanzania ni huyu nimtajae hapa chini na headline imejielekeza kwa Chadema, simply because ndicho chama pekee cha upinzani huku bara, chenye kuonyesha mwelekeo wa matumaini ya uwezekano wa kulipatia taifa letu la Tanzania, ule ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania!.[/SIZE][/COLOR]

[COLOR=#222222][SIZE=4]Mkuu Jogi, japo umeniomba [B]"Nikubaalie japo mara hii tu kuwa, tatizo linalotumaliza ni zimwi CCM". [/B]Samahani sana, sikukubalii, kwa maoni yangu, japo ni kweli CCM ni zimwi, adui sio zimwi, bali wale wanaolifuga hili zimwi na kulipa chakula ili liendelee kuishi!.

1. Tatizo kubwa la Watanzania au adui mkubwa wa Tanzania sio CCM, CCM is just the vehicle, haikujiweka hapo ilipo, imewekwa, hivyo tatizo sio CCM iliyowekwa, bali tatizo ni wale walioiweka CCM hapo ilipo!. That simply means, tatizo ni sisi Watanzania tulioiweka CCM madarakani and it plays games on us again and again na sisi tukiendelea kuiweka madarakani again and again and again na sitashangaa kama hata 2015, tukairudisha tena CCM ikulu ya Magogoni!.

2. Hii dhana ya kudhania adui mkubwa wa Tanzania ni CCM, is a wrong concept, na hili ndilo kosa kubwa la wapinzani, wakiwemo Chadema, katika chaguzi zote za nyuma wapinzani wanaelekeza nguvu nyingi concentration kubwa ya mashambulizi yote kwa CCM wakibeza tuu CCM haikufanya hiki au kile, huku wakijihesabu CCM ndie adui yao mkubwa, hivyo ku miss the real target ya adui halisi ni nani!. Adui sio CCM, adui ni watu wanaoiweka CCM hapo ilipo.

14. Numbers Don't lie, angalia [B]Voting statistics[/B][/SIZE][/COLOR]

[B][SIZE=4]Tanzania: 2010 Presidential election results[/SIZE][/B]
[SIZE=4]Updated January 2010

The United Republic of Tanzania elections for parliament and the presidency were held on 31 October 2010.[/SIZE]

[B][SIZE=4]Voting statistics[/SIZE][/B]
[SIZE=4]Registered Voters 20 137 303
Total votes 8 626 283
% Turnout 42.84
Valid votes 8 398 394
Spoilt votes 227 889
% Spoilt votes 2.64[/SIZE]
[B][SIZE=4]Table source[/SIZE][/B]
[SIZE=4]Commonwealth 2010, 31.[/SIZE]

[B][SIZE=4]Results[/SIZE][/B]
[SIZE=4][B]Candidate[/B] [B]Party[/B] [B]Votes[/B] [B]% Vote[/B]
Jakaya Kikwete Chama Cha Mapinduzi (CCM) 5 276 827 62.83
WP Slaa Chama Cha Demokiasia na Maendeleo (CHADEMA) 2 271 941 27.05
Ibrahim Lipumba Civic United Front (CUF) 695 667 8.28
Peter Mziray Kuga Progressive Party of Tanzania (PPT-MAENDELEO) 96 933 1.15
Rungwe Hashim Spunda National Convention for Construction and Reform (NCCR-Mageuzi) 26 388 0.31
Muttamwega Bhatt Mgaywa Tanzania Labour Party (TLP) 17 462 0.21
Yahmi Nassoro Dovutwa United People's Democratic Party (UPDP) 13 176 0.16
Total
8 398 394 99.99[/SIZE]
[B][SIZE=4]Table source[/SIZE][/B]
[SIZE=4]Commonwealth 2010, 31.[/SIZE]

[B][SIZE=4]References[/SIZE][/B]
[SIZE=4]COMMONWEALTH 2010 [I]Report of the Commonwealth Observer Group: Tanzania General Elections 31 October 2010[/I].[/SIZE]

[COLOR=#222222][SIZE=4]15. Kwa mujibu wa data hizo, JK amechaguliwa kura milioni 5 tuu kati ya watu milioni 40!. Waliojiandikisha ni milioni 20, lakini waliopiga kura ni milioni 8 tuu!, hii inamaanisha kuna watu milioni 12, ambao walijiandikisha lakini hawakupiga kura kwa sababu mbalimbali, ikiwemo wale waliokata tamaa na kuona kupiga kura ni wastage of time, hata upige vipi kura, matokeo ni yale yale lazima CCM ishinde, hivyo kuliko kupoteza muda wakaachana kabisa na kupiga kura!

16. Suppose 2015, Watanzania tutakuwa Milioni 50 wenye sifa za kupiga kura ni milioni 35, hawa wote wakihamasishwa kujiandikisha na kujitokeza kupiga kura, mgombea wa CCM atajipatia kura zao zile milioni 6 za wanachama wao kwa mujibu wa tovuti ya CCM, halafu hizo kura milioni 29 zimuangukie mgombea wa upinzani, hata NEC ya CCM, wachakachue vipi, there will be no way out!, hivyo adui yetu mkubwa sio CCM, bali ni Watanzania wanaipigia kura CCM!.

17. Sasa ili kuwafikia Watanzania wote na kuwaamsha waliolala, Chadema haiwezi kuwafikia Watanzania wote kwa kutegemea mikutano ya hadhara na mass media za wengine. Chadema lazima wawe na mass media yake ambayo ita propagate the message of changing the mindset ya Watanzania. Chadema wana all the resource kumiliki media yake lakini very unfortunately they are myopic, hawana vision ya kuona mbali kuangalia nje ya box and see a bigger picture. Hawajui kupanga priorities zao. Bei ya gari moja tuu la M4C linatosha kununua transmitter ya Digital ya redio na TV. Chadema bila media yake, ni kutwanga maji kwenye kinu, CCM ina media yake na TV yake TBCCM, radio zake na magazeti yake, Chadema bila media yake, ikulu wataendelea kuisikia tuu kwenye bomba, 2020 ni CCM tena! .
Paskali[/SIZE][/COLOR]
[/QUOTE]
Mkuu Mag3, ukisoma hoja hizo, utakubaliana na mimi, adui yetu Mkuu sio CCM bali ni kukosekana kwa upinzani imara, upinzani makini na chama mbadala wa CCM ili Watanzania wakiaminie, wakipigie kura, hivyo hata uchaguzi Mkuu huu wa October, kwa huku bara ni CCM only and only CCM pekee!.

P
 
Nimemuona P kwenye mada za CHADEMA. Utabiri wa mabaya. P ulituasa tuepuke prophecy of doom. Tusiwaase wengine huku sisi tunatenda.

Hakuna kosa kubwa tutalifanya kama kuombea CHADEMA ife. Hiyo laana haitakaa ituache, itakula nasi sahani moja. Kama tulikubali NCCR na CUF vinyongwe, tusikubali haya kwa CHADEMA.

Makala nyingi za kuiponda CHADEMA na kukiombea mabaya hata kama sio sehemu ya zile project zina ukakasi na kuacha maswali mengi kuliko majibu.

Je, kuna personal issues nje ya politik?

Jr
Mkuu Mshana Jr, kwanza heshima mbele, hakuna mtu yoyote anayeiombea Chadema ife, kosa langu ni kuwa mkweli too much.

Humu jf tuna members wa aina 3, tuna
  1. Simple minds, discuss people, wao badala ya kujadili hoja iliyo mezani, hawa watamjadili mtoa hoja.
  2. Ordinary minds, discuss events, hawa watadili matukio, nini kimetokea etc
  3. Great minds discuss ideas, hawa watajadili hoja iliyo mezani.
Hivyo naomba keep on being free, kujadili watu, matukio na hoja, katika mabandiko yangu, ukiweza kujibu hoja, nitashukuru, ila hata ukinijadili, sikulaumu na likes nakutwangia.
Ukipata muda karibu ujibu hoja za bandiko hili.

Asante
P
 
Wanabodi,

1. Tatizo kubwa la Watanzania au adui mkubwa wa Tanzania sio CCM, CCM is just the vehicle, haikujiweka hapo ilipo, imewekwa, hivyo tatizo sio CCM iliyowekwa, bali tatizo ni wale walioiweka CCM hapo ilipo!. That simply means, tatizo ni sisi Watanzania tulioiweka CCM madarakani and it plays games on us again and again na sisi tukiendelea kuiweka madarakani again and again and again na sitashangaa kama hata 2015, tukairudisha tena CCM ikulu ya Magogoni!.

2. Hii dhana ya kudhania adui mkubwa wa Tanzania ni CCM, is a wrong concept, na hili ndilo kosa kubwa la wapinzani, wakiwemo Chadema, katika chaguzi zote za nyuma wapinzani wanaelekeza nguvu nyingi concentration kubwa ya mashambulizi yote kwa CCM wakibeza tuu CCM haikufanya hiki au kile, huku wakijihesabu CCM ndie adui yao mkubwa, hivyo ku miss the real target ya adui halisi ni nani!. Adui sio CCM, adui ni watu wanaoiweka CCM hapo ilipo.


Paskali
wafuasi wa chadema, hampendi kukosolewa. Mtu yeyote akiwa na mawazo tofauti mnamshambulia binafsi kwani hata mwanzo mlituaminisha kina mdee wapo pale kwa sababu ya magufuli na ndugai, leo wote hawapo lakini sakata linaendelea.
Adui yenu ni ccm mkae na kutambua hilo na bila kushirikiana na vyama vingine na kuacha kujiona nyinyi ni bora ikulu mtaishia kualikwa na kunywa chai.
Mkuu rodrick alexander , hii dhana ya kudhani adui mkubwa wa Chadema ni CCM, is a wrong concept!.
Ukienda vitani, kama hunjui adui yako, Huwezi kushinda vita maana hujui umlenge Nani.

Enzi za bandiko hili, website ya CCM ilionyesha CCM ina wanachama milioni 6. Watu walijiandikisha kupiga kura ni watu milioni 20, wakiwemo wale milioni 6 wa CCM. Watu waliojitokeza kupiga kura ni watu milioni 8. Mshindi anashinda kwa kura milioni 5!. Kuna watu milioni 12 ambao walijiandikisha kupiga kura na hawakujitokeza. Adui yenu mkubwa sio wale watu milioni 5 walioichagua CCM, kati ya wanachama wake milioni 6, bali ni wale milioni 12 ambao hawajui thamani ya kura Yao!. Chadema needs to invest in people, mass mobilization and reaching out strategies kuwafikia wale milioni 12. Hao ndio ilikuwa wawe targeted, na 2015 ilikuwa Chadema waingie Ikulu. Adui wa Chadema aliyeikosesha Chadema Ikulu sio CCM, ni ...

Mfano sasa kwa haya madudu na maroroso yanayoendekea ndani ya Chadema, kuna chama cha kuipa ikulu yetu.
P
 
Mkuu rodrick alexander , hii dhana ya kudhani adui mkubwa wa Chadema ni CCM, is a wrong concept!.
Ukienda vitani, kama hunjui adui yako, Huwezi kushinda vita maana hujui umlenge Nani.

Enzi za bandiko hili, website ya CCM ilionyesha CCM ina wanachama milioni 6. Watu walijiandikisha kupiga kura ni watu milioni 20, wakiwemo wale milioni 6 wa CCM. Watu waliojitokeza kupiga kura ni watu milioni 8. Mshindi anashinda kwa kura milioni 5!. Kuna watu milioni 12 ambao walijiandikisha kupiga kura na hawakujitokeza. Adui yenu mkubwa sio wale watu milioni 5 walioichagua CCM, kati ya wanachama wake milioni 6, bali ni wale milioni 12 ambao hawajui thamani ya kura Yao!. Chadema needs to invest in people, mass mobilization and reaching out strategies kuwafikia wale milioni 12. Hao ndio ilikuwa wawe targeted, na 2015 ilikuwa Chadema waingie Ikulu. Adui wa Chadema aliyeikosesha Chadema Ikulu sio CCM, ni ...

Mfano sasa kwa haya madudu na maroroso yanayoendekea ndani ya Chadema, kuna chama cha kuipa ikulu yetu.
P

Tokea lini kura zinaamua nani awe rais?
 
Back
Top Bottom