unaweza kutransfer but kwenda chuo cha private kama KIU mm kuna mdogo wangu amedisco medicine UDOM now yupo KIU ametrasfer credit
Haiwezekani!labda kama ungekua hujadisco,ungeweza kutransfer credits.
nakua hivyo ila sometimes wanakurudisha semister moja nyuma au mwaka mmoja nyuma ili uwalipe hela vzr..kwan ni course gani unayotaka kutransfer?ok unaendelea na mwaka huo huo uloishia.
telecommunicationnakua hivyo ila sometimes wanakurudisha semister moja nyuma au mwaka mmoja nyuma ili uwalipe hela vzr..kwan ni course gani unayotaka kutransfer?
Inawezekana, na unaeza enda chuo chochote ila unaanza 1st yr....
yan ww hata uende uko unapotaka kwenda kudisco kukopale pale kusoma sio fani yako
Unajua maana ya ku dico? Ni kifeli. Chuo gani kitampokea mtu aliyefeli chuo kingine aje aendelee na madomo kwao?
telecommunication engineering angalia vyuo kama zanzibar university,wanayo pale na nahis now ndio wamemaliza mwaka wa wa 3 kwa intake yao ya kwanza,pia KIU wana computer engineering unaweza kucheck pia,vyuo vya serikali vyengine vinaruhusu ila wanataka uwe hujadisco kwa examination irregularities,kama open university and so on..so jaribu kuangalia uwezekano...all the best na pole sana but usikate tamaa zote ni challenge za maisha tu hizo so unatakiwa uwe strong.;telecommunication
mtu adisco mwaka wa nne unasema kusoma sio fani yake think twice.
yan ww hata uende uko unapotaka kwenda kudisco kukopale pale kusoma sio fani yako
Unajua maana ya ku dico? Ni kifeli. Chuo gani kitampokea mtu aliyefeli chuo kingine aje aendelee na madomo kwao?
jaribu kuwa mtu mzima basi,yeye ameomba ushauri kama unaona kusoma sio fani yake ww inakuhusu nini..kwn wenzako waliokaa kimya ni wajinga?amedisco T.O pale coet itakua huyu?kudisco sio kama hujui inategemea na situation,kama unataka kujua kudisco ni nini nenda pale COET ndio utajua watu na akili zao wanaliwa vichwa,usiwe unasoma st joseph then unaona kudisco ni ukilza,