Mabalozi sita wa chama cha mapinduzi ktk mtaa wa sekei moram kata ya moshono wamevua gamba na kujiunga na chadema.CHADEMA MOSHONO TUNA MAOMBI YA WENGINE WATANO AMBAO BADO TUNAWACHUNGUZA.MTAA WA SEKEI MORAM NI KAMA HAKINA UONGOZI BAADA YA MWEKITI KUTOITISHA MKUTANO KWA MWAKA NA NUSU KWA HOFU YA ANAOWAITA CHADEMA kutokana na ubadhirifu aloufanya.Wateule hawa wanataka kadi na bendera,so we stil 2nawasiliana na uongozi wa wilaya.
Mungu yu pamoja nasi, mkuu unaweza kuwa na hayo majina ya hao wajumbe?