Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,583
Habari zenu mabibi na mabwana,
Kwa kuokoa muda na bila kupoteza wakati, niende moja kwa moja kwenye swali. Eti kudeka ama kudekezwa ndo kukoje jamani?
Mara nyingi nimesikia, iwe kwa inda au nia njema kabisa watu wakisema fulani anadeka sana kwa wazazi wake au fulani kadekezwa sana kwao. Mimi mpaka sasa sijaweza kupata maana yakuridhisha kuhusiana na hilo neno.
Wewe kama wewe unaweza kunipa mfano/mifano ya kudeka na kudekezwa? Natanguliza shukrani zangu kwa wale wote ambao watachangia tajiriba zao na ufahamu wao kuhusiana na hili jambo. Akhsanteni sana
Kwa kuokoa muda na bila kupoteza wakati, niende moja kwa moja kwenye swali. Eti kudeka ama kudekezwa ndo kukoje jamani?
Mara nyingi nimesikia, iwe kwa inda au nia njema kabisa watu wakisema fulani anadeka sana kwa wazazi wake au fulani kadekezwa sana kwao. Mimi mpaka sasa sijaweza kupata maana yakuridhisha kuhusiana na hilo neno.
Wewe kama wewe unaweza kunipa mfano/mifano ya kudeka na kudekezwa? Natanguliza shukrani zangu kwa wale wote ambao watachangia tajiriba zao na ufahamu wao kuhusiana na hili jambo. Akhsanteni sana